Makongoro ashukia wanasiasa waongo
MJUMBE wa Kamati ya kampeni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makongoro Nyerere amewataka Watanzania kuepuka wanasiasa waongo na badala yake waipe kura CCM kwa kumchagua Dk John Magufuli kuwa Rais wa Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Apr
‘Msidanganyike na wanasiasa waongo’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Paulo Makonda ametaka wananchi nchini kutodanganywa na baadhi ya wanasiasa wanaotumia ajenda ya Katiba, bali wawaeleze changamoto zinazowakabili, ikiwa ni pamoja na zile walizowaahidi wananchi kuzitekeleza.
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Wajumbe waongo kukiona
>Rasimu ya Kanuni za Uendeshaji wa Bunge la Katiba, zinawabana wajumbe wa bunge hilo na sasa atakayebainika kusema uongo anaweza kupewa adhabu ya kutokuhudhuria vikao visivyozidi vitatu.
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Utafiti:Watoto waongo ni werevu
Wanasayansi nchini Uingereza wanasema kuwa wana ushahidi kwamba watoto wanaodanganya bila mtu kugundua wana kumbukumbu nzuri ikilinganishwa na wale wasiodanganya.
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Waongo Bunge la Katiba wadhibitiwe
Kila mara mjumbe wa Bunge la Katiba anapoonekana kutoa maneno yanayodhaniwa kuwa ni ya uongo, hasa kuhusu mmoja au kundi la wajumbe wa Bunge hilo, mwenyekiti huombwa kutoa mwongozo ili huyo anayesema aweze kuthibitisha madai yake au kudhibitiwa.
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kumbe waongo ni wagonjwa wa akili?
Katika mihangaiko yangu ya kila siku nimekutana na watu waongo, yaani wanapenda kudanganya kiasi kwamba hata wao wenyewe huwa wanajiongopea.
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Adhabu kwa waongo ni kufungiwa vikao vitatu
>Wajumbe wa Bunge la Katiba wameelezwa kuwa yeyote atakayesema uongo wakati wa kujadili kwa lengo la kuboresha Rasimu ya Pili ya Katiba, ataadhibiwa kwa kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0TmlM9vg49rZrRXg2S6e1P3GMTFLPCAnRoreykmTJnazvTpRQt3AzhQzsMNbPDZ5mq1nl8ulHcWHlbz9Cuf3vwFLA/whatsApp.jpg?width=650)
WHATSAPP YAWAKABA KOO ‘WAONGO’
Kuanzia leo uongo kwamba sikuupata ujumbe wako wa WhatsApp itakuwa historia, au kudai kuwa ujumbe haujafika utakuwa unaongopa mchana kweupe.
Huduma hiyo inapatikana kupitia Whatsapp katika simu zote za mkononi zenye uwezo wa kuitumia
Tick ya kijivu ina maana kuwa ujumbe umetumwa, tick mbili za kijivu zina maana ujumbe umemfikia mlengwa, na tick mbili za blue zina maana kuwa mlengwa ameusoma ujumbe uliotumwa. Whatsapp haijatoa...
10 years ago
Bongo529 Aug
Juma Nature: Wanawake wengi waongo, bado nipo nipo sana
Juma Nature amesema tabia ya uongo kwa wanawake wengi inamfanya asifikirie kuoa awe mgumu kuoa. Nature ambaye ni baba wa mtoto mmoja aitwaye Furaha, ameiambia Bongo5 kuwa anashidwa kufanya uchaguzi sahihi wa mwanamke kutokana na wanawake kuwa matapeli. “Suala la kuoa ni suala la kitaifa, siku mimi nikioa hata rais atajua Juma Nature anaoa, nikiwa […]
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s640/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania