MAKONGORO NYERERE AKAMILISHA ZOEZI LA KUTAFUTA WADHAMINI MKOANI SHINYANGA
Mtangaza nia kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao Charles Makongoro Nyerere leo amekamilisha ziara ya kutafuta wadhamini mikoani.Ziara yake ameikamilisha katika mkoa wa Shinyanga.Katika hotuba yake ya kukamilisha ziara yake,Makongoro Nyerere amekemea vitendo vya mafisadi aliodai hawazidi 20,anaowafahamu sura,majina na tabia zao ambao wamekuwa kikwazo hata kwa rais Jakaya Mrisho Kikwete,aliodai kuwa wengi ni marafiki zake na rais. Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga mjini Charles Sangura...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xhZ5JaDZZiY/VXmI5w5NngI/AAAAAAAAUw8/nUPc_6NClA0/s72-c/Lowassa_Kabula%2BZacharia2.jpg)
LOWASSA APATA WADHAMINI ZAIDI YA ELFU SABA MKOANI SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xhZ5JaDZZiY/VXmI5w5NngI/AAAAAAAAUw8/nUPc_6NClA0/s640/Lowassa_Kabula%2BZacharia2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-909DSnCrulk/VXLVBK8mhLI/AAAAAAAHcdI/pyKRlTv1h_E/s72-c/20150606040817.jpg)
BREAKING NYUZZZZ......: msafara wa makongoro nyerere wapata ajali mbaya mkoani kigoma
Msafara huo uliokuwa ukielekea wilayani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini, ambapo gari walilokuwa wamepanda wasaidizi wa Makongoro ndilo lililopata ajali kwa kupinduka wakati likiwa kwenye mwendo.
Watu waliokuwepo katika gari hilo lililopata ajali wameumia vibaya sana akiwemo Mwandishi wa habari, Cyprian Musiba na kukimbizwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-909DSnCrulk/VXLVBK8mhLI/AAAAAAAHcdI/pyKRlTv1h_E/s72-c/20150606040817.jpg)
BREAKING NEWS: MSAFARA WA MAKONGORO NYERERE WAPATA AJALI MBAYA MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-909DSnCrulk/VXLVBK8mhLI/AAAAAAAHcdI/pyKRlTv1h_E/s640/20150606040817.jpg)
Msafara wa mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Charles Makongoro Nyerere umepata ajali wilayani Kasulu mkoani kigoma mapema leo hii.
Msafara huo uliokuwa ukielekea wilayani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini, ambapo gari walilokuwa wamepanda wasaidizi wa Makongoro ndilo lililopata ajali kwa kupinduka wakati likiwa kwenye mwendo.
Watu waliokuwepo...
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA TANZANIA MOVIE TALENTS KUHAMIA KANDA YA KATI MKOANI DODOMA, ZOEZI LA KUTAFUTA WASHINDI KUANZA JUMAMOSI YA WIKI HII
Promotions Limited - Mwanza Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents (TMT) kinaondoka leo asubuhi Mkoani Mwanza Kuelekea Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuendelea na shindano la kusaka vipaji vya kuigiza.
Katika Kanda ya Kati mashindano yatafanyika Mkoani Dodoma katika Ukumbi wa African Dream kuanzia Jumamosi ya tarehe...
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Pinda aanza kutafuta wadhamini
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wananchi wa Mpanda waliofika kwenye ofisi ya CCM ya Wilaya ya Mpanda kushuhudia na kumdhamini ili apate sifa za kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Juni 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wanaCCM wa kijijini kwake Kibaoni wilayani Mlele Juni 15, 2015 wakati alipokwenda kwenye Ofisi ya CCM ya kata ya Kibaoni kabla ya kudhaminiwa na wana CCM wa kata hiyo ...
10 years ago
VijimamboDKT. MAGUFULI AWASILI ZANZIBAR KUTAFUTA WADHAMINI
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Mh. Wasira azuru mkoa wa Kilimanjaro na Arusha kutafuta wadhamini
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira (kushoto) akiwa ndani ya ofisi za CCM mkoa wa Kilimanjaro wakati alipoenda kuomba kuthaminiwa na wananchi ili kuweza kupata nafasi ya kugombea nafasi ya Urais. Katikati ni mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro, Deogratius Luta na kulia ni Katibu wa CCM mkoa huo Idd Juma Mohamed.
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiwa anaongea na mmoja wa kada wa CCM aliyejitokeza kumdhamini.
![](http://1.bp.blogspot.com/-8myeQmI7wDk/VXRSgqoMPUI/AAAAAAAAPFA/XMPQt7ZCkQA/s640/OeqKR2MJWuSfpXLKwfBFZJFLWOptDzREjsfG1WJwJKE%252C22ptFu1mWeGYCjbMdhlzybDGK1I_ve_ajlFVLvrMdQY.jpg)
Waziri wa Kilimo na Ushirika Stephen...
10 years ago
VijimamboBALOZI AMINA SAUM ALI ATUA PEMBA KUTAFUTA WADHAMINI
9 years ago
MichuziMKAMU WA RAIS SAMIA AKAMILISHA ZIARA YAKE MKOANI GEITA.