Makumbusho ya viongozi ni muhimu
Nilipoandika kuhusu umuhimu wa kuwa na makumbusho ya Karume na Nyerere kuna watu walioona kuwa ni ubadhirifu wa mali za umma na pengine haina sababu kabisa. Niseme kuwa kila kitu katika jamii, hata picha yako katika ubatizo, mahafali na kadhalika ni sehemu ya makumbusho ya taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uq-_izXcjzU/U3hurfw68BI/AAAAAAAFjag/S4HD_w1XQTo/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aSxAmkIS9GM/U3hutR0sQ6I/AAAAAAAFjao/dqtuEsIHhwg/s1600/New+Picture+(3).png)
10 years ago
Bongo Movies14 Mar
Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.
“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..
Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.
Mzee wa...
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Makumbusho Zanzibar yaboreshwe
10 years ago
GPLSTENDI YA MAKUMBUSHO YAANZA KUHARIBIKA
9 years ago
StarTV10 Oct
TCRA yazindua makumbusho ya taifa ya mawasiliano
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya Posta duniani kwa kuzindua makumbusho ya Taifa ya mawasiliano jijini Dar es salaam
Akifanya uzinduzi huo kwa niaba ya Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa, Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo John Mgondo amesema mabadilko ya Teknolojia yamerahisisha mawasiliano
Kuanzishwa kwa makumbusho ya taifa ya mawasiliano kumezingatia sheria ya uhifadhi kwa kukusanya taarifa kutoka...
10 years ago
StarTV22 Dec
Iringa Boma kuwa jumba la makumbusho.
Na Mawazo Malembeka,
Iringa.
Wizara ya Maliasili na Utalii imetoa kibali kwa Chuo Kikuu cha Iringa kulikarabati na kulihuisha jengo lililojengwa na wakoloni wa kijerumani miaka 114 iliyopita maarufu kama Iringa Boma na kuwa jumba la makumbusho.
Jengo hilo ambalo litafanyiwa ukarabati na mradi wa kuendeleza na kukuza utamaduni wa asili kanda ya Nyanda za Juu Kusini unaoitwa Fahari yetu unaotekelezwa na Chuo Kikuu cha Iringa kwa ufadhili wa Jumuiya ya nchi za Ulaya kwa zaidi ya miaka 50...
9 years ago
MichuziUTURUKI KUIPIGA TAFU MAKUMBUSHO YA TAIFA
Nchi ya Uturuki ipo tayari kuisaidia Makumbusho ya Taifa katika nyanja za Utafiti, Uhifadhi, Maonesho ya vioneshwa vya kimakumbusho na hata katika Maonesho mbali mbali ya muziki na sanaa ili kuboresha na kuendeleza shughuli mbali mbali zinazo fanywa na Makumbusho ya Taifa hapa nchini.
Ahadi hii imetolewa na Balozi wa Uturuki hapa Nchini Mh Yasemin ERALP alipo kutana na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa kwa lengo la kubadilishana mawazo ili kuona ni kwa namna gani...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iLJUJ4yhURI/VXVEkoiGErI/AAAAAAAHc5k/Q_AM5brCpYQ/s72-c/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LHXAmPQnJFQ/XqAnwllYlBI/AAAAAAAAHF0/W7V9-7NpjFYdB9KZzeoSKpI2f1SdW737ACLcBGAsYHQ/s72-c/20200421_135739.jpg)
KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA MAKUMBUSHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-LHXAmPQnJFQ/XqAnwllYlBI/AAAAAAAAHF0/W7V9-7NpjFYdB9KZzeoSKpI2f1SdW737ACLcBGAsYHQ/s640/20200421_135739.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-zI4JE3dE3V4/XqAoz2KX4WI/AAAAAAAAHGs/Xi9POTIvj904YNsynLaDYAX9zZCsjdbEQCLcBGAsYHQ/s640/20200421_140453%25280%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXAIkQejTvY/XqAnuEhOntI/AAAAAAAAHF4/th8Sv_fp4aAzwSXNeS_Php5I-SWon0aJgCEwYBhgL/s640/20200421_133049.jpg)