Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makundi ya watu wauawa Darfur

Idadi kubwa ya watu wanaendelea kuuawa katika jimbo la Sudan la Darfur, shirika la haki za binadamu-Human Rights Watch limeripoti

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Oxfam:Watu 50,000 wametoroka Darfur

Shirika la Oxfam limesema kuwa zaidi ya watu elfu hamsini kutoka eneo la Darfur huko Sudan wamekimbia makazi yao

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATOA SHEHENA YA FUTARI KWA MAKUNDI YA WATU WASIOJIWEZA.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ametoa shehena ya Futari ikiwemo Sukari, Mchele, Unga, Maharage na Mafuta kwa zaidi ya Watu 350 kutoka Makundi mbalimbali ikiwemo Yatima, Walemavu wa Viungo, Wasioona, Watu wenye ulemavu wa Ngozi Albino na Watu wasiojiweza kama sehemu ya sadaka ya Mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Katika Shehena hiyo aliyotoa RC Makonda kila Mwananchi amepata vifurushi vyenye Mchele Kilo 5, Unga kilo 5, Sukari, kiroba cha Maharage na Mafuta ya kupikia.

Msaada huo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF ATOA ONYO KUIBUKA KWA MAKUNDI YA KUSHAMBULIA WATU

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akikaribishwa na Daktari Mkuu wa Hospitali ya Jeshi Bububu Luteni Kanali Haroub Yussuf Mwalimu kwenda kumkagua Mwanachama wa CCM Marjan Suleiman Pandu aliyelazwa katika Hospitali hiyo. Marjan alishambuliwa na Vijana juzi usiku wakati akibandika picha za Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dr. Ali mohammed Shein katika maeneo ya Mlandege.Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Kijana wa Chama cha Mapinduzi Marjani Suleiman...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 50 wauawa Pakistan

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa Somalia

Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

11 years ago

GPL

WATU 28 WAUAWA CHINA

Baadhi ya majeruhi katika shambulio hilo wakiwa hospitali. Miili ya watu waliouawa katika shambulio hilo.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 9 wauawa Burundi

Watu tisa wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi ya 30 wauawa Afghanistan

Shambulizi la kujitoa mhanga kwenye mji ulio mashariki mwa Afghanistan wa Jalalabad limewaua watu 33 na kuwajeruhiwa wengine 100.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani