Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oxfam:Watu 50,000 wametoroka Darfur

Shirika la Oxfam limesema kuwa zaidi ya watu elfu hamsini kutoka eneo la Darfur huko Sudan wamekimbia makazi yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Makundi ya watu wauawa Darfur

Idadi kubwa ya watu wanaendelea kuuawa katika jimbo la Sudan la Darfur, shirika la haki za binadamu-Human Rights Watch limeripoti

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafuriko yakosesha makazi watu 7,000

TAKRIBAN wakazi 7,000 wa kata tatu zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro hawana mahala pa kuishi baada ya nyumba zao  zinazokadiriwa kufikia 2,500 kusombwa na kumezwa na mafuriko. Mafuriko...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watu 92,000 kupiga kura Chalinze

JUMLA ya watu 92,939 wanatarajiwa kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa Chalinze utakaofanyika Jumapili ijayo. Takwimu hizo zilitolewa wilayani hapa juzi na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 40,000 waukimbia mji wa Ramadi

Mratibu wa huduma za Umoja wa mataifa nchini Iraq amesema kuwa huenda takriban watu 40,000 wameukimbia mji wa Ramadi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukame wawaathiri watu 250,000 Somaliland

Mashirika ya misaada yanasema watu robo ya milioni wanaathirika kutokana na ukame katika eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland.

 

10 years ago

Vijimambo

Daktari mmoja Tanzania huhudumia watu 30,000

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa.
Daktari mmoja nchini Tanzania, anahudumia watu 30,000 (1:30,000), utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO), umeonyesha.

Hata hivyo, takwimu hizo zipo mbali mno na uwiano uliopendekezwa na WHO wa daktari maalum mmoja kuhudumia watu 1,000.

Taarifa ya Hospitali ya Apollo jana ilisema kutokana na ukuaji wa haraka wa idadi ya watu nchini, kwa ujumla uwiano huo haujabadilika katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

Kutokana na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Dengue yaua watu 25,000 kila mwaka


Na Selina Wilson
WATU 25,000 wanapoteza maisha kila mwaka kutokana na ugonjwa wa homa ya dengue ulioenea katika nchi 110 duniani, ikiwemo Tanzania.
Hayo yalisemwa jana mjini Dar es Salaam na Mtaalamu wa Udhibiti na Ufuatiliaji Magonjwa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Geofrey Mchawa, katika mafunzo ya siku moja ya waandishi wa habari za afya kuhusu ugonjwa wa dengue.
Alisema takwimu zinaonyesha kuwa watu 50 hadi 390 wanaambukizwa ugonjwa huo kila siku duniani na kwamba kwa hapa nchini,...

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 11,000 WALIOAMBUKIZWA CORONA IRAN WAPATA NAFUU

Watu 11,000 walioambukizwa corona Iran wapata nafuuWizara ya Afya imetangaza kuwa, hadi sasa watu 11,679 waliokuwa wameabukizwa virusi vya ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini Iran wamepata nafuu na kuruhusiwa kuondoka hospitalini.Kianoush Jahanpour, Msemaji wa Wizara ya Afya ya Iran akizungumza Jumamosi na waandishi habari alisema: "Hadi sasa watu 35,408 nchini Iran wameambukizwa corona. Aidha ameongeza kuwa, hadi sasa idadi ya waliofariki kutokana na virusi hivyo kufikia adhuhuri ya Jumatano ilikuwa watu 2,517.Ugonjwa wa COVID-19...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani