Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malalamiko Ubalozi wa TZ Italy


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UBAYA WA UBALOZI WETU WA ROME ITALY

tanzaniaVijimambo imepata barua ya moja ya Mtanzania anayeshi Italy akiwakilisha Watanzania wenzake wa nchi za Uturuki na Ugiriki ambazo Ubalozi huo hutoa huduma kwa nchi hizo akilalamikia utendaji wa kazi wa Ubalozi wa Tanzania Rome Italy kwamba haufurahishi hata kidogo na huduma kwa wananchi wa Tanzania wanaohudumiwa na Ubalozi huo ni za kutatisha tamaa na pamoja na mambo mengine lalamiko kuu lilikua ucheleweshaji wa pasi za kusafiria zikiwemo za watoto wao wanaozaliwa huko kupata pasi za...

 

11 years ago

Michuzi

ujumbe wa ubalozi mdogo wa malawi Dubai watembelea ubalozi mdogo wa tanzania Dubai

Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania,Dubai leo AMEKUTANA NA MHESHIMIWA GELINA, BALOZI MDOGO WA MALAWI, DUBAI NA UJUMBE WAKE KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE YA MALAWI. Mheshimiwa Omar Mjenga  akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake. Kulia kwake ni Mheshimiwa Bi Gelina Balozi Mdogo wa Malawi. Na kulia kwa Mheshimiwa Gelina ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu (DAP) kutoka wizara ya mambo ya nje ya Malawi. Kushoto kabisa mwa picha ni Mhasibu Mkuu wa wizara hiyo na kulia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri yapinga malalamiko ya kesi

Wizara vya mashauri ya kigeni nchini Mirsi imepinga lawama za kimataifa kufuatia kuhukumiwa kwa waandishi watatu wa Al Jazeera.

 

10 years ago

Mwananchi

Kipindi cha malalamiko kimeanza

Kumekucha. Ligi Kuu Bara imeshaanza kutimua vumbi. Safari ya lawama imeanza. Kwa wenzetu, kila msimu mpya unapoanza kuna mambo mengi mapya hutokea, lakini kubwa ni kuongezeka kwa ushindani. Kwetu, hali ni tofauti. Jicho namba 12 linafahamu jambo hilo.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Malalamiko ya wakulima yashughulikiwe ipasavyo

Ijumaa ya wiki hii, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alitangaza kiama kwa mawakala wanaonunua mazao kwa wakulima, ambao kwa jina jepesi aliwaita ‘makanjanja.’

 

11 years ago

Habarileo

Malalamiko ya Tanzania Bara, Zanzibar hadharani

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja malalamiko 10 ya kila upande wa Muungano, ambayo yanatishia kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ikiwemo Serikali ya Tanganyika kuvaa koti la Serikali ya Muungano ambalo linaisaidia Tanganyika zaidi kuliko Zanzibar.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Takukuru Sikonge yapokea malalamiko saba

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora kati ya Agosti Mosi hadi Oktoba 17 mwaka huu, imepokea malalamiko saba ya tuhuma za rushwa. Kamanda...

 

9 years ago

Habarileo

Sababu ya malalamiko kiwanda cha sukari

BODI ya Sukari Tanzania imesema chanzo cha malalamiko ya wakulima wa miwa wanaozunguka Kiwanda cha Sukari cha Kilombero (ILOVO) ni kutokana na mashine kiwandani kuharibika bila kutarajia na kusimamisha uzalishaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani