Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malezi muhimu

 Mtoto yake malezi, tangu kale tunaambiwa, Wamleavyo wazazi, vile anavyolelewa, Na ndivyo yake makuzi, hivyohivyo yatakuwa, Kwa jambo akielewa, huzeeka nalo hilo      

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Heshima nguzo muhimu katika malezi ya mtoto

Unaelewa nini unaposikia neno heshima? Umewahi kufikiria jinsi gani unaweza kumlea mwanao katika misingi ya heshima? Je, heshima huanzia wapi?

 

10 years ago

Mwananchi

Sayansi yaonyesha kwa nini baba ni muhimu katika malezi

Wapendwa akina baba, watoto wenu wanawahitaji katika malezi yao kama vile wanavyowahitaji mama zao! Kwa miongo kadhaa, wanasaikolojia na watafiti walidhani kuwa mahusiano kati ya mama na mtoto yalikuwa muhimu katika maisha mtoto zaidi ya mahusiano ya mtoto na baba yake.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha  hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.

“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
 Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..

Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.

Mzee wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunahitaji sera ya malezi Tanzania

Katika utamaduni wa Mwafrika mtoto ni kiungo muhimu katika familia.Ndoa ambayo haina mtoto huonekana imepwaya na hata upendo hupungua na hata kutoweka baina ya wanandoa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunu asisitiza malezi bora ya watoto

Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda ametoa wito kwa wazazi kusimamia malezi katika ngazi ya familia kwani hiyo ndiyo njia pekee ya kuandaa Taifa lenye amani na utulivu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi vijana, wanahitaji mafunzo ya malezi ya watoto

Watu wanapooana wanatarajia kupata watoto. Pale wanapokosekana inakuwa ni majonzi makubwa kwa wanandoa hao. Ni ukweli kwamba watoto ni majaliwa Kutoka kwa Mungu, lakini kila mtu angependa ajaliwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi wasikimbie kivuli chao kuhusu malezi

Mafanikio ya mtoto kielimu huchangiwa na jitihada za mzazi na mwalimu, hitilafu kwenye jitihada za mmoja kati ya hawa huhusiana moja kwa moja na udhaifu wa kitaaluma wa mtoto.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto watakiwa kupata malezi ya akina baba

SHIRIKA la Save the Children kwa kushirikiana na Umoja wa nchi za Ulaya (EU) wamezindua kampeni ya Baba bora ambayo inahamasisha wanaume kushiriki malezi ya mtoto na sio kuonekana malezi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Malezi ya hovyo ya Makonda yasituzuie kujadili Katiba

BIBLIA Takatifu inasema kuwa; “Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye makwazo hayo yaja kwa sababu yake; ni afadhali akafungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani