Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mali zote za Serikali kurasimishwa-JK

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameagiza mali zote za Serikali, zikiwemo nyumba, kurasimishwa kwenye miliki ya Serikali kwa kutafutiwa na kupatiwa hati na nyaraka nyingine muhimu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MALI ZOTE ZA WAKULIMA WA MKONGE KURUDISHWA-WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia mti wa mkonge uliopandwa nje ya Jengo la Mamlaka ya Mkonge Mkoani Tanga, baada ya kuzindua rasmi Jengo la Mamlaka hiyo, kutoka kushoto ni Naibu Waziri Wizara ya Kilimo Mhe. Omar Mgumba, Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mkonge Tanzania Saad Kambona, akiwa katika ziara ya siku moja ya Mkoa huo, kukagua maendeleo ya zao la mkonge, Juni, 1, 2020.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Naibu Waziri...

 

11 years ago

Ykileo

SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.

Nchini uchina kumezuka gumzo baada ya serikali kupiga marufuku matumizi ya Window 8 katika computa zote za serikali nchini humo. Taarifa iliyo chapishwa na “CHINA DAILY” ilibainisha uamuzi huo wa serikali uliowekwa kwenye tovuti ya serikali ya nchini humu ambapo ilisisitiza zoezi hilo hali husu komputa za watu binafsi isipokuwa zile zinazotumiwa na serikali.


Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...

 

11 years ago

Bongo Movies

Utajiri wa Irene Uwoya waanza kuwa gumzo, watu wahoji amepata wapi mali zote hizo. Mwenyewe afunguka na haya

Inadaiwa kuwa hali ya hewa imechafuka kwa msanii nyota wa filamu za Bongo Irene Uwoya ambapo ameshindwa kutaja vyanzo vya utajiri wake wa Ghafla, Hivi karibuni Uwoya alikaririwa akisema kuwa hawezi kutaja kazi nyingine anayofanya na utajiri aliokuwa nao kwani wapo baadhi ya watu hawapendi kuona mmoja wao akiendelea ...Alisema kuwa pamoja na magari anayomiliki ya kifahari hawezi sema ni njia gani amepata utajiri huo..Nimefanya Filamu kadhaa ambazo zimenipa hela na cha zaidi ni Jina ambalo...

 

9 years ago

Habarileo

CCM ikiingia madarakani bodaboda kurasimishwa

ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya awamu ya tano, imebainisha kuwa itarasimisha huduma za bodaboda na pikipiki za matairi matatu (bajaj), ili huduma hizo zitambulike kisheria.

 

9 years ago

Mwananchi

Majaliwa: Serikali itatekeleza ahadi zote

Serikali ya Awamu ya Tano imesema itatekeleza ahadi zote zilizotolewa kwa wananchi wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu na kwamba watafanya hivyo kwa kutumia fedha zinazoendelea kukusanywa kwa kutumbua majipu na vyanzo vingine vya mapato.

 

11 years ago

Mwananchi

Taboa yataka Serikali iondoe kodi zote

Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimepongeza hatua ya Serikali ya kupunguza kodi kwenye mabasi kutoka asilimia 25 hadi 10 kwa mabasi yanayobeba abiria 25 lakini ikataka kodi hiyo iondolewe kabisa.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yanunua hisa zote za General Tyre

Serikali imesema sasa inamiliki kiwanda cha kutengeneza magurudumu ya magari cha General Tyre kwa asilimia 100 baada ya kununua hisa zote 26 zenye thamani ya Dola 1 milioni zilizokuwa zikimilikiwa na kampuni ya Continental AG.

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZZZ:SERIKALI YAZIFUNGA SHULE ZOTE KUANZIA LEO SABABU YA CORONA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa


SERIKALI imesema shule zote za awali, msingi na sekondari zitafungwa kwa siku 30 kuanzia leo Machi 17, 2020.


Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo (Jumanne, Machi 17, 2020) wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni, jijini Dar es Salam.


Amesema wanafuzi wa kidato cha sita walipaswa kuanza mitihani Mei 4, 2020 lakini nao pia watapaswa kusibiri Wizara ifanye utaratibu mwingine kulingana na matokeo ya hali ya maambukizi.

...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani