Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi akomaa na Nooij wake

Licha ya kelele za wadau wengi wa soka kutaka kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij atimuliwe, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemkingia kifua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Malinzi ampa Nooij mkono wa kwaheri

Jamal Malinzi amempa rasmi mkono wa kwaheri aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Mart Nooij.

 

11 years ago

GPL

POLISI AKOMAA NA DEREVA BODABODA

Askari Polisi akimnyang'anya ufunguo mwendesha bodaboda aliyekuwa amembeba abiria asiye na kofia ngumu 'helmet' eneo la Ubungo Mataa jijini Dar es Salaam jambo ambalo ni hatari kutokana na msongamano mkubwa wa magari eneo hilo. (PICHA NA MAKONGORO OGING' / GPL)

 

11 years ago

Michuzi

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AZUNGUMZIA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE NDANI YA SIKU 100

 Rais wa shirikisho la Mpira wa miguu nchini TFF Ndugu Jamal Malinzi katikati akizungungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo juu ya mafanikio ya uongozi wake kwa siku mia moja toka waingie madarakani, Kulia ni Afisa habari wa TFF Bonifas Wambura na kushoto ni Mshauri wa ufundi Bwana Rutayunga Peregenus  Pichani ni baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia mkutano huo uliofanyika leo ndani ya moja ya ukumbi wa hotel ya Kempisk Hyatt Regence...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nooij: Viungo wametumaliza

WAKATI Kocha wa Msumbiji, Joao Chissano, akifurahia sare ya 2-2 dhidi ya Taifa Stars, mwenzake Mart Nooij amelaumu safu ya kiungo kushindwa kuwajibika ipasavyo katika mechi hiyo. Akizungumza baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Cannavaro, Nooij wamtosa Ronaldo

Nahodha wa Yanga na Tanzania, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ ni mmoja wa manahodha watatu kati ya 82 waliopiga kura ya kumchagua Lionel Messi kuwa mwanasoka bora wa mwaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Viungo wamnyima usingizi Nooij

Kocha wa Taifa Stars, Martinus Nooij amehamishia nguvu zake katika kuisuka upya safu ya kiungo ya timu hiyo kwa lengo la kuhakikisha anapata matokeo mazuri katika pambano la marudiano dhidi ya Zimbabwe litakalochezwa Juni Mosi jijini Harare.

 

11 years ago

TheCitizen

To sail through, Nooij should revisit tactics

Mart Nooij’s tactics are to blame for Taifa Stars’ failure to beat Mozambique in the Nations Cup second round, first leg qualifier in Dar es Salaam a week ago.

 

10 years ago

TheCitizen

‘King’ wants coach Nooij fired

Dar es Salaam. Taifa Stars head coach Mart Nooij has come under fire again after a humiliating 3-0 defeat to the Pharaohs of Egypt in the 2017 Africa Cup of Nations qualifying match in Alexandria.

 

10 years ago

Mtanzania

Nooij atamba kuifunga Misri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Mart Nooij, amewatoa hofu Watanzania kwa kuwahakikishia kuwa kikosi chake kitaibuka na ushindi dhidi ya timu ya Misri, katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON) mwaka 2017, mchezo utakaopigwa Juni 14, katika uwanja wa Borg El Arab, jijini Alexandria.

Jumla ya msafara wa watu 34 uliondoka jana kuelekea Addis Ababa, nchini Ethiopia, kuweka kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo huo, wakiwemo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani