Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi: Wachezaji wa FA wamebahatika

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema wachezaji wa timu zinazoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) wamebahatika kwani wamepata njia ya kujiuza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi, Lowassa wakutana

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema shirikisho lake limepanga malengo ya muda mfupi na mrefu ili kuinua kiwango cha mchezo huo nchini. Malinzi amesema hayo jana alipomtembelea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi ajitambulisha CAF

Dar es Salaam. Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeahidi kumpa ushirikiano Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi katika kipindi chote cha uongozi utawala wake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Malinzi maji ya shingo

BODI ya Ligi Kuu Tanzania kwa kushirikiana na Klabu 14 za ligi hiyo, zimetishia kusaka theluthi mbili ya saini za Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malinzi aipongeza Yanga

Jamal Malinzi ametuma salamu za pongezi kwa Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans, Yusuf Manji kufuatia timu yake kutwaa Ubingwa .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamari yamtisha Malinzi

KASI ya kamari katika soka nchini maarufu kama ‘betting’, imeanza kumtisha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akihofia kuuvuruga mchezo huo kama hatua hazitachukuliwa. Malinzi aliyeukwaa urais...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga, Simba zamkacha Malinzi

LICHA ya kutarajiwa kuwa waathirika wakubwa wa sheria ya nyota wa kigeni katika timu za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), wakongwe wa soka la Bongo, Simba na Yanga, juzi zilikacha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niwe wa mwisho kumpa 5 Malinzi

TANGU uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani, umekuwa ukifanya hiki na kile kwa lengo la kuyafikia malengo yake ya kuinua kiwango...

 

11 years ago

Mwananchi

Jamal Malinzi aipongeza Azam

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameipongeza Azam kwa kutwaa ubingwa na kudai kuwa si Tanzania tu iliyozizima bali Afrika kwa ujumla.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani