Malinzi: Wachezaji wa FA wamebahatika
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema wachezaji wa timu zinazoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) wamebahatika kwani wamepata njia ya kujiuza.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Malinzi, Lowassa wakutana
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Malinzi ajitambulisha CAF
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Malinzi maji ya shingo
BODI ya Ligi Kuu Tanzania kwa kushirikiana na Klabu 14 za ligi hiyo, zimetishia kusaka theluthi mbili ya saini za Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Malinzi aipongeza Yanga
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Kamari yamtisha Malinzi
KASI ya kamari katika soka nchini maarufu kama ‘betting’, imeanza kumtisha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akihofia kuuvuruga mchezo huo kama hatua hazitachukuliwa. Malinzi aliyeukwaa urais...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Yanga, Simba zamkacha Malinzi
LICHA ya kutarajiwa kuwa waathirika wakubwa wa sheria ya nyota wa kigeni katika timu za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), wakongwe wa soka la Bongo, Simba na Yanga, juzi zilikacha...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Niwe wa mwisho kumpa 5 Malinzi
TANGU uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani, umekuwa ukifanya hiki na kile kwa lengo la kuyafikia malengo yake ya kuinua kiwango...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Jamal Malinzi aipongeza Azam