Mapatina wanaotikisa jiji kwa sasa
Kwa muda mrefu habari za uhusiano wa mapenzi baina ya watu mashuhuri wakiwamo wafanyabiashara na wanamuziki zimekuwa zikitikisa vichwa vya habari katika mitandao ya kijamii, redio lakini pia hata kwa wapenzi wa wadau hao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Hawa ni Ma-DJ wanaotikisa spika kwa sana
11 years ago
Habarileo20 Jan
Maegesho ya magari Dar sasa kusimamiwa na Jiji tu
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imezinyang’anya rasmi Manispaa majukumu ya kusimamia maegesho ya magari na imefuta vibali vyote vya maegesho vilivyotolewa na mamlaka hizo. Hatua hiyo imekuja baada ya Kamati ya Ushauri Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) kuagiza halmashauri ya Jiji kufanya kazi hiyo baada ya kubaini halmashauri za Ilala, Kinondoni na Temeke, kisheria hazikupaswa kusimamia maegesho ya magari.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWdOPBJ178L4iMkxaq9sO9aRLd-WXB8fg9GtP5ZY5dgWCVf08irasZbgpaR2dlol5qkVucbS0a-c-cMXr6uhcE7s/WAKE.jpg)
WAKE WA MARAIS WA AFRIKA WANAOTIKISA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi97o4W720iIVeA7tyRXXSh3Ps15nZFBmUV8-jHPbpVflMLbZ0woM5*K6wJObqDfkwWWpy9j-Ug9CuDWnU7Q4sdD/mabint.jpg?width=650)
MABINTI WA MARAIS WA AFRIKA WANAOTIKISA
10 years ago
GPLMWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s72-c/3.jpg)
TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5Wt3S3udSE/VfbhJIrz2BI/AAAAAAAAc-Q/Gr3Ol0vaPjo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GDe0f46dIZA/VfbhJuyupBI/AAAAAAAAc-U/4ESsV93HWu0/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9uKwr4HtDww/VfbhH4OLdkI/AAAAAAAAc-I/QQDK6yIDvSg/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WPd0HA-I9Ck/VfbhqYdprvI/AAAAAAAAc-k/JghbrBbsirU/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QqWb_abmdRI/VfbhqPndAVI/AAAAAAAAc-g/5613cPEm1Zo/s640/9.jpg)
9 years ago
Raia Tanzania28 Aug
Kilichofanywa na Jiji kwa Ukawa ni hatari
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam juzi ilijaribu bila mafanikio kuzuia kufanyika kwa mkutano wa uzinduzi wa kampeni za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) uliopangwa kufanyika kesho kwenye viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mitandao ya kijamii na baadaye magazeti, Jiji lilitoa sababu zisizoridhisha katika kujenga hoja ya kuwakatalia Ukawa kutumia viwanja hivyo vya umma, likisema vimelipiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa siku tisa ingawa hadi...