Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani: hatujui waliotungua ndege

Marekani imesema haina ushahidi wa kuihusisha moja kwa moja serikali ya Urusi kuhusika katika kuidondosha ndege.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

IDARA YA UONGOZAJI NDEGE YA MAREKANI FAA YATOA MAFUNZO KWA WAONGOZA NDEGE BARANI AFRIKA

 Kaimu  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri Wa Anga Tanzania (TCAA) Varrely Chanmlunga akimkaribisha Meneja Mipango  wa Kimataifa wa  Idara ya uya uongozaji wa Ndege wa Marekani (FAA) Michele Cappelle  wakati wa Warsha ya uongozaji  wa ndega  barani afrika  iliyoandaliwa na  Idara ya Anga ya Marekani  .Washa hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara  ya Uongozaji  wa Ndege ya Marekani (FAA) Tony Ferrante. Baadhi ya washiriki wa Warsha ya uongozaji wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya mashirika ya ndege

Marekani imeonya mashirika ya ndege yanayoelekea Russia kuwa kunauwezekano wa magaidi kusafirisha vilupuzi kwa niya ya kuishambulia Sochi

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:IS haikuangusha ndege yetu

Marekani inasema kuwa ushahidi uliopo unaonyesha kuwa si kweli kwamba wapiganaji wa IS waliangusha ndege ya muungano huo

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria

Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yafunga kituo cha ndege Ethiopia

Marekani imefungia kituo cha ndege zisizo na rubani nchini Ethiopia ambacho imekuwa ikitumia kushambulia wanamgambo wa al-Shabab katika taifa jirani la Somalia.

 

10 years ago

GPL

MAREKANI YAWASHAMBULIA WANAMGAMBO WA SYRIA KWA NDEGE

Ndege za kijeshi za Marekani zikirusha makombora kushambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria. Muonekano baada ya ndege za Marekani kutupa makombora.…

 

9 years ago

GPL

NDEGE YA JESHI LA MAREKANI YAANGUKA AFGHANISTAN NA KUUA 12

Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules iliyoanguka. Ramani inayoonesha eneo ambapo ndege hiyo ilipata ajali. Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules imeanguka usiku wa leo katika Uwanja wa Ndege wa Jalalabad nchini Afghanistan na kuua watu 12. Kanali wa jeshi la Marekani Brian Tribus ameiambia AFP kwamba watao kati ya waliokufa walikuwa wanajeshi wa Marekani, watano walikuwa raia wa… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka minane imepita: hatujui walipo Lemy na Zacharia(2)

 Juma Charles anaendelea kueleza  kuwa baada ya tukio hilo alidhani watoto wake walipotea tu kawaida kutokana na kukimbilia kusikojulikana kwa hofu, lakini kadri siku zilivyozidi na matukio ya utekaji na mauaji ya albino kuzidi kuongezeka, hilo liliwatia hofu.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka minne imepita :Hatujui walipo Lemy na Zacharia

Ni msiba usiofutika. Pengine ndiyo maneno yanayofaa kuelezea tukio la familia ya watoto wenye ulemavu wa ngozi, Lemy Juma (12) na Zacharia Juma (6) waliotekwa na watu wasiojulikana miaka minane iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani