Maria Stopes yapania kupunguza mimba zisizotarajiwa
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Maria Stopes likishirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii linatarajia kupunguza mimba zisizotarajiwa zipatazo 779,199 kwa kutoa elimu kwa wanawake 418,000 ifikapo Desemba mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CtS1KPG3CG0/U5F2qd3YGiI/AAAAAAAFn_I/7rcRPpnvV0M/s72-c/unnamed+(14).jpg)
warembo wanaowania taji la Miss Arusha 2014 watembela hospital ya maria stopes jijini humo
![](http://2.bp.blogspot.com/-CtS1KPG3CG0/U5F2qd3YGiI/AAAAAAAFn_I/7rcRPpnvV0M/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LwoOAhsuMOE/U5F2rBa2xKI/AAAAAAAFn_M/y3vFBF04QtM/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Shirika la TMEP lasaidia kupunguza mimba kwa watoto wa shule Singida
![DSC04482](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC04482.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Kupunguza uchumi wa taslimu uwe mkakati wa kupunguza ujambazi
MATUKIO ya majambazi kuwavamia watu na kuwakuta na fedha nyingi ni mengi. Juzi sista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka – Dar es Salaam, alivamiwa na kupigwa risasi na majambazi,...
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MARIE STOPES YAJIVUNIA UHUSIWANO WAKE NA SERIKALI
11 years ago
Daily News29 Jun
Marie Stopes commits to promote beauty pageant
Daily News
MARIE Stopes Tanzania has expressed its commitment in partnering with the Miss Chang'ombe competition because they believe in young women ability to achieve great things, both for themselves and for Tanzania. Speaking on behalf of Marie Stopes ...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s640/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tskktoxdiA4/VCn95P0D8II/AAAAAAAGmko/tdOc78UTrmc/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MARIE STOPES TANZANIA YAJIVUNIA USHIRIKIANO WAKE NA SERIKALI
Na Mwandishi Maalum, New York Ushirikiano na uhusiano mzuri baina ya Serikali na Shirika lisilo la Kiserikali la Marie Stopes umeliwezesha shirika hilo kuwafikishia wananchi wengi zaidi huduma mbalimbali za afya zikiwamo za uzazi wa mpango Hayo yameelezwa na Mwakilishi Mkazi wa Marie Stopes nchini Tanzania, Bi. Ulla E. Muller wakati alipomtembelea na kufanya mazungumzo na Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa...
10 years ago
TheCitizen01 Sep
LAKE ZONE: Marie Stopes opens new health facility
>Marie Stopes Tanzania (MST), the country’s largest specialist provider of reproductive health services, has launched a new health facility at Nyegezi in Nyamagana District, Mwanza Region, which will expand health services including family planning, youth friendly services as well as cervical cancer screening and treatment.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania