Marufuku kutangaza holela utafiti wa dawa
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amepiga marufuku asasi zinazojishughulisha na tafiti za dawa za binadamu, kutangaza matokeo ya utafiti kwenye vyombo vya habari, bila kufuata misingi iliyowekwa ikiwemo kuihusisha Wizara yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Feb
Tume zapiga marufuku elimu holela Katiba Inayopendekezwa
WAKATI nchi ikijiandaa kwa Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa, asasi za kiraia na kijamii nchini zinazotaka kutoa huduma ya elimu ya uraia na ya mpiga kura kuhusu Katiba Inayopendekezwa, zimetakiwa kuomba vibali vya kufanya hivyo, vinginevyo hazitaruhusiwa kutoa elimu yoyote juu ya katiba hiyo.
10 years ago
Mwananchi21 Jun
MAONI : Sheria zisimamiwe kudhibiti uuzwaji holela wa dawa
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
CCM: Marufuku kutangaza nia ya kugombea urais
Na Ally Ndota, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonya viongozi na watendaji wake kuacha tabia ya kuwabeba wana-CCM wanaotangaza nia ya kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao, kwani kufanya hivyo ni kukiuka kanuni na miongozo ya Chama.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar), Vuai Ali Vuai ametoa onyo hilo alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Kamati za Siasa za Mkoa na Wilaya za Kichama za Mjini na Amani, ikiwa ni mfululizo wa ziara ya wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Kuu ya NEC,...
9 years ago
BBCSwahili16 Aug
IAAF lilihujumu utafiti wa dawa sisimuzi
11 years ago
KwanzaJamii26 Apr
Dawa feki za malaria marufuku
10 years ago
Habarileo02 Apr
China, Tanzania kusaini utafiti dawa asili
TANZANIA na China leo wanatia saini Mkataba wa Makubaliano wa kuendeleza na kufanya utafiti wa matumizi ya dawa za asili kwa ajili ya tiba ya magonjwa ya mbalimbali ya binadamu nchini.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Utafiti wa matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine wapingwa
5 years ago
MichuziSERIKALI: DAWA YA COVID 19 KUTOKA MADAGASCAR NI KWA AJILI YA UTAFITI
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema kuwa dawa ambayo nchi ya Madagascar imeitoa kama msaada wa Serikali ya Tanzania ni kwa ajili ya utafiti kwanza.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amewaambia waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuwa dawa hiyo inayojulikana kaitaalamu kama "COVIDORGANICS" ni kwa ajili ya utafiti na siyo kwa ajili ya matumizi ya binadamu.
"Huu mzigo (dawa) ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EjaZl9DkmSA/Xkeoj62AYfI/AAAAAAACyqE/R3V_V4Ue5sU0_kyExSKvoeu8WFZ-e2YmACLcBGAsYHQ/s72-c/5c3ab7b6-520f-40ab-87b1-9681a00033ce-1024x683.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA: MARUFUKU MAOMBI YA DAWA KW NJIA YA KARATASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-EjaZl9DkmSA/Xkeoj62AYfI/AAAAAAACyqE/R3V_V4Ue5sU0_kyExSKvoeu8WFZ-e2YmACLcBGAsYHQ/s640/5c3ab7b6-520f-40ab-87b1-9681a00033ce-1024x683.jpg)
Dkt. Ndugulile ametoa marufuku hiyo maara baada ya kubaini mianya ya upotevu wa dawa za Serikali katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini alipokuwa ziarani katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro...