Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marufuku kutangaza holela utafiti wa dawa

Waziri wa Afya, Dk Seif Rashid.WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amepiga marufuku asasi zinazojishughulisha na tafiti za dawa za binadamu, kutangaza matokeo ya utafiti kwenye vyombo vya habari, bila kufuata misingi iliyowekwa ikiwemo kuihusisha Wizara yake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Tume zapiga marufuku elimu holela Katiba Inayopendekezwa

Jaji Damian LubuvaWAKATI nchi ikijiandaa kwa Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa, asasi za kiraia na kijamii nchini zinazotaka kutoa huduma ya elimu ya uraia na ya mpiga kura kuhusu Katiba Inayopendekezwa, zimetakiwa kuomba vibali vya kufanya hivyo, vinginevyo hazitaruhusiwa kutoa elimu yoyote juu ya katiba hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Sheria zisimamiwe kudhibiti uuzwaji holela wa dawa

Chama cha Wafamasia (PST) juzi kilitoa taarifa kuhusu matumizi mabaya ya dawa yanayosababishwa na kuwapo kwa maduka holela ambayo hutoa dawa bila kuzingatia kanuni , maadili na taratibu za kitabibu na matokeo yake ni kuzorotesha afya za wananchi.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CCM: Marufuku kutangaza nia ya kugombea urais


Na Ally Ndota, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonya viongozi na watendaji wake kuacha tabia ya kuwabeba wana-CCM wanaotangaza nia ya kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao, kwani kufanya hivyo ni kukiuka kanuni na miongozo ya Chama.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar), Vuai Ali Vuai ametoa onyo hilo alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Kamati za Siasa za Mkoa na Wilaya za Kichama za Mjini na Amani, ikiwa ni mfululizo wa ziara ya wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Kuu ya NEC,...

 

9 years ago

BBCSwahili

IAAF lilihujumu utafiti wa dawa sisimuzi

Ripoti za vyombo vya habari kutoka nchini Uingereza na Ujerumani zimelilaumu shirikisho la riadha duniani IAAF kwa kuhujumu utafiti ambao uligundua kuwa thuluthi moja ya wanariadha walikiri kuvunja sheria za matumizi ya dawa za kusisimua misuli.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Dawa feki za malaria marufuku

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amesema  maduka ya dawa yatakayobainika kuuza dawa za malaria zilizokwisha muda yatafungiwa na kunyang’anywa leseni ya biashara. Akizungumza katika mkutano wa kujadili malaria na mikakati yake uliofanyika katika maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, Dk Rashid alisema uuzaji wa dawa zilizokwisha muda  na zilizopigwa marufuku kama tiba ya malaria, ndicho chanzo cha kuzorota kwa vita dhidi ya ugonjwa huo. “Mmiliki wa duka ambaye kwa kawaida ni...

 

10 years ago

Habarileo

China, Tanzania kusaini utafiti dawa asili

TANZANIA na China leo wanatia saini Mkataba wa Makubaliano wa kuendeleza na kufanya utafiti wa matumizi ya dawa za asili kwa ajili ya tiba ya magonjwa ya mbalimbali ya binadamu nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Utafiti wa matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine wapingwa

Makala maalumu iliyobainisha kuwa hydroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo kwa wagonjwa wa virusi vya corona imeondolewa kutokana na kuwepo na maswali kuhusu data.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI: DAWA YA COVID 19 KUTOKA MADAGASCAR NI KWA AJILI YA UTAFITI




Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema kuwa dawa ambayo nchi ya Madagascar imeitoa kama msaada wa Serikali ya Tanzania ni kwa ajili ya utafiti kwanza.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amewaambia waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuwa dawa hiyo inayojulikana kaitaalamu kama "COVIDORGANICS" ni kwa ajili ya utafiti na siyo kwa ajili ya matumizi ya binadamu.

"Huu mzigo (dawa) ni...

 

5 years ago

CCM Blog

NAIBU WAZIRI WA AFYA: MARUFUKU MAOMBI YA DAWA KW NJIA YA KARATASI

  Na Englibert Kayombo, WAMJW – Moshi, Kilimanjaro.Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amepiga marufuku kwa watumishi wa afya katika vituo vya kutolea huduma za afya kutumia karatasi kama njia ya kuidhinisha maombi ya dawa.
Dkt. Ndugulile ametoa marufuku hiyo maara baada ya kubaini mianya ya upotevu wa dawa za Serikali katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini alipokuwa ziarani katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani