Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASHABIKI WA WASANII WAMETAKIWA KUONDOA ITIKADI ZA VYAMA ZILIZOTOKANA NA KAMPENI

 Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiSHIRIKISHO la Wasanii nchini  wamewataka mashabiki wao kuondoa tofauti  za kiitikadi ambazo zilijitokeza  katika kampeni waendelee kuwaunga mkono.


Akizungumza na waandishi wa habari,mmoja wa msanii, Stara Thomas amesema kila watu walikuwa na itikadi katika kampeni hivyo ni wakati mwafaka wa kufanya kazi.


Stara amesema wameshiriki katika kampeni zimeisha sasa ni wakati kushiriki katika majukumu kama wasanii.


Hata hivyo amesema wanapongeza Rais wa Awamu ya Tano,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe washauri kuweka pembeni itikadi za vyama

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Josephine Chagula, amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuweka pembeni tofauti zao za vyama na badala yake wajadili mambo yenye maslahi kwa taifa. Akizungumza na...

 

11 years ago

Habarileo

Vyama kuondoa makundi Bunge Maalum

VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini wameanza kujadili namna ya kuondoa makundi katika Bunge maalumu la Katiba kwa njia ya mazungumzo, yakielezwa ndivyo yanayosababisha migogoro iliyopo.

 

9 years ago

Bongo5

Wakazi: Mil20 za kufanya kampeni si kitu ukilinganisha na sera nzuri zitakazonipa mil200’, adai hashangai wasanii kutumika kwenye kampeni (Video)

Kuna mgawanyiko mkubwa wa wasanii katika machaguo yao ya wapi waegemee kwenye kipindi hiki cha uchaguzi. Wasanii wengi wanaonekana kuchukuliwa na chama tawala zaidi kwenye mikutano yake ya kampeni lakini pia wapo kibao waliopo upande wa muungano wa vyama vya Ukawa. Kuna wengine ambao pamoja na kuombwa kushiriki kwenye kampeni hizo wamekataa kwa kile wanachoamini […]

 

9 years ago

Bongo5

BASATA yawapiga msasa viongozi wa vyama vya wasanii

DSC_0122

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limewapa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo katika maeneo mbalimbali viongozi wa vyama na taasisi zinazojihusisha na wasanii ili kujenga ufanisi zaidi katika sekta ya Sanaa.

DSC_0122
Katibu Mkuu wa BASATA, Godfrey Mngereza

Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa siku tatu kuanzia Jumanne hadi Alhamisi ya wiki hii yalijikita katika kuwajengea uwezo Wasanii kwenye maeneo ya uandaaji bajeti, uandaaji wa mipango mikakati na sheria ya hakimiliki na hakishiriki na mikataba kwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee: Mashabiki msitushindanishe wasanii, mnatukosanisha!

vanessa

Mwanadada anayefanya vizuri na kibao, ‘Never Ever’, Vanessa Mdee amewataka mashabiki kuacha tabia ya kuwashindanisha wasanii au kuwagandamiza ili mmoja wao aonekane yupo juu.

vanessa

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, Vanessa alisema kila msanii ana nafasi yake katika muziki ndio maana ni vigumu kuwalinganisha.

“Kuna baadhi ya mashabiki siyo wote, wenye tabia ya kugandamiza wasanii. Tabia ya kupambanisha wasanii kwa sababu wana kitu fulani au ambao wanafanya kitu similar hii...

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera vyama kwa kampeni za kistaarabu

Ni takriban siku 15 tagu kampeni zilipoanza rasmi kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kwa bahati nzuri hakuna matatizo makubwa ambayo yametokea hadi sasa.

 

9 years ago

Bongo5

BASATA yawashauri wasanii kuwa makini na mashabiki wao

Baraza la Sanaa Taifa, BASATA limewataka wasanii kutumia vizuri mashabiki wa muziki wao ili kujenga muziki wao na sio kubomoa. Katibu mkuu wa BASATA, Godfey Mngereza akiwa na Diamond kwenye mapokezi yake baada ya kutoka Marekani, Alhamis hii Akizungumza na Bongo5 jana, katibu mkuu wa BASATA, Godfrey Mngereza , alisema moja ya vitu vinavyosababisha kutoelewana […]

 

9 years ago

Mwananchi

Vyama vinne havijaanza kampeni Dodoma Mjini

Zikiwa zimebaki siku 37 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu, vyama vinne vilivyosimamisha wagombea ubunge Jimbo la Dodoma Mjini, havijaanza kampeni kutoka na sababu mbalimbali ikiwamo ukosefu wa fedha.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Msajili wa vyama aonya matusi katika kampeni.

NA ELIZABETH ZAYA 8th September 2015 Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini, imesema itakichukulia hatua chama chochote ambacho kitabainika kutumia lugha za matusi katika kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kwa sasa. Akizungumza na waandishi […]

The post Msajili wa vyama aonya matusi katika kampeni. appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani