Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masharti kwa wimbo wa taifa China

Wimbo wa taifa wa China hautaruhusiwa kuchezwa tena maharusini , matangani, au kwenye hafla zozote zisizo za kiserikali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA CHINA YAWEKA MASHARTI YA MTU KUPATA MIMBA

KAMPUNI moja nchini China imepanga masharti kwa wafanyakazi wake wa kike ikiwa watataka kupata mimba. Masharti hayo ambayo yamewekwa katika sheria za kampuni hiyo zimezua malalamiko mengi katika mitandao ambapo wanawake wote walio kwenye ndoa lazima wawe wamefanya kazi kwa mwaka mmoja kwenye kampuni hiyo kabla ya kutoa maombi ya kukubaliwa kushika mimba. Kwa mujibu wa masharti hayo, anayekiuka utaratibu huo  na kushika mimba...

 

11 years ago

Michuzi

Shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) lapatiwa msaada wa Gari la kisasa la kurushia matangazo kutoka kwa Serikali ya China

 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara( wa pili kutoka kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa matumizi ya Gari la kurushia matangazo la TBC, kutoka kulia ni Makamu Waziri wa Biashara wa Jamhuri ya watu wa China Li Jingzao, Makamu wa Rais wa China Li Yunchao  na wa mwisho kushoto ni Mkurugenzi wa TBC Bw. Clement Mshana.   Gari la kisasa la kurushia matangazo ya moja kwa moja lililokabidhiwa kwa TBC likiwa katika viwanja vya Shirika hilo...

 

10 years ago

Bongo5

Rich Mavoko: Sijaachia wimbo wala kwa sasa sina mpango wa kuachia wimbo

Kama wewe ni shabiki wa mtoto wa mama Richard, Rich Mavoko inabidi uwe na subira kwasababu muimbaji huyo wa ‘Pacha Wangu’ amesema hana mpango wa kutoa wimbo mpya hivi karibuni. Wiki hii kuna wimbo wa Rich Mavoko unaoitwa Ongea Nae’ umesambaa kwenye baadhi ya blogs na hata kuzifikia radio mbalimbali mikoani ikiaminika ni single yake […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mpoto ashoot video ya wimbo ‘Njoo Uichukue’ ndani ya uwanja wa taifa

Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto ameanza kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Njoo Uichukue’ ndani ya uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam pamoja na sehemu nyingine. Mpoto akiimba Akizungumza na Bongo5 leo msemaji wa Mpoto Theatre Gallery Ltd , Dominic Kaunda, alisema ndani ya video hiyo inayofanyWa na director Adam Juma wamewatumia […]

 

10 years ago

GPL

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YASEMA MFUMUKO WA BEI WA TAIFA KWA MWEZI JANUARI, 2015 UMEENDELEA KUPUNGUA KWA ASILIMIA 4.0‏

 Mkurugenzi wa Sensa za Jamii na Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Ephrahim Kwesigabo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari.  Mkurugenzi wa Sensa za Jamii na Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Ephrahim Kwesigabo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo , wakati akitoa Fahirisi za bei za taifa kwa mwezi Januari, 2015. Kulia ni Kaimu...

 

10 years ago

Habarileo

Membe adhaminiwa kwa masharti Arusha

Bernard MembeWANANCHI jijini Arusha waliojitokeza kumpokea na kumdhamini Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe jana, walimpa masharti kada huyo wa CCM ya kutekeleza endapo atafanikiwa kuingia Ikulu kupitia chama hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto atoa masharti kwa Lowassa

Mwanza. Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amesema iwapo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anataka kugombea urais kupitia chama hicho afuate taratibu za chama ikiwamo kutangaza mali zake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani