Matokeo ya awali Catalonia
Matokeo ya kura ya maoni isiyokuwa na makubaliano iliyopigwa jana kutaka ama kutotaka jimbo la Catalonia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MATOKEO YA AWALI JIMBONI CHALINZE
Mgombea Ridhiwani Kikwete (CCM) anaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi Jimbo la Chalinze kwa kata 15 akiwa na kura 20,733, Chadema 2,618 na CUF 449!
10 years ago
Mwananchi15 Dec
CCM, Ukawa katika matokeo ya awali
Katika Kitongoji cha Njiapanda Magharibi (Vunjo) CCM ilishinda kwa kura (343), NCCR-Mageuzi (195) na TLP-(36).
10 years ago
GPL
10 years ago
GPL26 Oct
10 years ago
GPL
NEC YAKAMILISHA ZOEZI LA KUTANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS
Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo imekamilisha zoezi la kutangaza matokeo ya awali ya Urais kwa majimbo yote 264 yaliyoshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Akizungumza wakati wa kukamilisha zoezi hilo lililokuwa likifanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva amesema kuwa kazi ya kutangaza...
10 years ago
GPL
NEC YATANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS KWA MAJIMBO 3
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu ambayo ni Lulindi, Makunduchi na Paje kama yanavyoonekana kwenye jedwali hapo juu. Matokeo mengine ya awali ya urais yataendelea kuwajia kadri yatakavyokuwa yakitolewa na…
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Matokeo ya awali urais, ubunge yaanza kutolewa nchini
Wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema wanachuana vikali kwa mujibu wa matokeo ya awali yaliyotangazwa kwenye vituo mbalimbali nchini baada ya wananchi kupiga kura jana.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu yaliyokamilisha mchakato huo mpaka jana asubuhi.
10 years ago
MichuziMATOKEO YA AWALI YA URAIS MAGUFULI ANAONGOZA DHIDI YA WAGOMBEA WENZAKE
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania