Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maximo aisoma Simba dakika 50

KOCHA Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, juzi alitumia dakika 50 kushuhudia mechi ya Simba dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika mechi ya kirafiki ya kimataifa liyochezwa Uwanja wa Taifa,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAZOEZI DAKIKA 120: Maximo aanza kwa kishindo Yanga

>Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameanza kazi yake kwa kishindo jana asubuhi na jioni kwa kuwakimbiza wachezaji wake kwa saa mbili kwenye ufukwe wa Coco na Uwanja wa Bandari, jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0

 Timu ya Yanga imeendeleza uteja tena leo katika mchezo wa wahasimu hao uliochezwa uwanja wa taifa leo baada ya timu ya Simba kuibamiza Yanga goli 1 bila majibu goli lililofungwa na Emmanuel Okwi mchezaji aliyeikimbia timu hiyo yenye masikani yake Jangwani katika dakika ya 52. Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika mpambano.Mchezaji Simon Msuva akijaribu kufanya mashambulizi goli mwa Simba shuti lake halikuweza kuleta madhara yeyote mpaka dakika 90 Simba 1 na Yanga 0. Picha kwa hisani ya...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Kocha Patrick Phiri amesema ametaarifiwa kuhusiana na kibarua chake kusitishwa.
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maximo: Waleteni Simba

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Mercio Maximo, amesema hana hofu na mechi dhidi ya Simba itakayopigwa Oktoba 18, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, akisema ana imani kubwa...

 

11 years ago

GPL

Dakika 17 zamuondoa Wambura Simba

Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KAMATI ya Uchaguzi ya Simba chini ya Mwenyekiti Damas Ndumbaro, imemuondoa rasmi mgombea wa nafasi ya urais Simba, Michael Wambura, kama ilivyokuwa imeandikwa kwenye gazeti hili, juzi Jumatatu.
Wagombea wengine waliokuwa wamewekewa pingamizi, wote wamefanikiwa kuendelea katika hatua inayofuata. Ndumbaro ambaye alitumia dakika 17 kusoma hukumu ya...

 

11 years ago

GPL

Aveva kumtumia Maximo Simba

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akipokelewa na mashabiki wa timu ya Simba SC.
Na Wilbert Molandi
RAIS mpya wa Simba, Evans Aveva, amesema moja ya mikakati atakayoanzanayo ni kutengeneza mfumo mzuri wa kuunda timu imara ya vijana ya U20.
Mkakati huo wa kuandaa timu bora ya vijana kwa mara ya kwanza aliutangaza Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, wakati anatambulishwa na viongozi wa timu hiyo. Akizungumza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Dakika 45 za mwisho ngumu Simba, Yanga

Wakati mechi ya watani wa jadi ikitarajiwa kufanyika Jumamosi, safu za ulinzi za Simba na Yanga zimeonekana kutokuwa makini, dakika 45 za kipindi cha pili.

 

9 years ago

GPL

VPL: YANGA 2-0 SIMBA, DAKIKA 90 ZIMEKWISHA

Kikosi cha timu ya Yanga Kikosi cha timu ya Simba Mashabiki wa Yanga. Mashabiki wa Simba.…

 

11 years ago

GPL

Tambwe apiga dakika 1373 Simba SC

Mshambuliaji wa Simba SC, Amis Tambwe. Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ndiye mchezaji pekee wa Simba aliyecheza dakika nyingi katika msimu mzima kwa kucheza dakika 1373. Wachezaji wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani