Maximo aisoma Simba dakika 50
KOCHA Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, juzi alitumia dakika 50 kushuhudia mechi ya Simba dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika mechi ya kirafiki ya kimataifa liyochezwa Uwanja wa Taifa,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jul
MAZOEZI DAKIKA 120: Maximo aanza kwa kishindo Yanga
>Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameanza kazi yake kwa kishindo jana asubuhi na jioni kwa kuwakimbiza wachezaji wake kwa saa mbili kwenye ufukwe wa Coco na Uwanja wa Bandari, jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s72-c/MMGL0169.jpg)
AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s1600/MMGL0169.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcG7nGUTfKs/VPx_b-JPmrI/AAAAAAADbqQ/vw34R5bUalk/s1600/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iOw-SP5Bt_Q/VPx_b4Yq6JI/AAAAAAADbqM/eqP8Gz6fDkk/s1600/MMGL0229.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Maximo: Waleteni Simba
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Mercio Maximo, amesema hana hofu na mechi dhidi ya Simba itakayopigwa Oktoba 18, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, akisema ana imani kubwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GNPHxMPWE-0GzsBe7FKcByFtMAQzs9nA*8ZOciSD4in70ooWORP61Go0-XL6-hGRE24qP*yjnoVmHL3vDBtPZgsSggobkJX6/144.jpg?width=650)
Dakika 17 zamuondoa Wambura Simba
Mgombea wa urais wa Simba, Michael Wambura. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KAMATI ya Uchaguzi ya Simba chini ya Mwenyekiti Damas Ndumbaro, imemuondoa rasmi mgombea wa nafasi ya urais Simba, Michael Wambura, kama ilivyokuwa imeandikwa kwenye gazeti hili, juzi Jumatatu.
Wagombea wengine waliokuwa wamewekewa pingamizi, wote wamefanikiwa kuendelea katika hatua inayofuata. Ndumbaro ambaye alitumia dakika 17 kusoma hukumu ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oto4-hHdKDHacOvqFsn5IuahHuhF*WjuyZQc1eGGwsxRHci8maEeYtuYqomacXkgCHXuGLSCQPkqpAMbZnQdDVaw34KOBbs4/simba2.gif?width=650)
Aveva kumtumia Maximo Simba
Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akipokelewa na mashabiki wa timu ya Simba SC.
Na Wilbert Molandi
RAIS mpya wa Simba, Evans Aveva, amesema moja ya mikakati atakayoanzanayo ni kutengeneza mfumo mzuri wa kuunda timu imara ya vijana ya U20.
Mkakati huo wa kuandaa timu bora ya vijana kwa mara ya kwanza aliutangaza Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, wakati anatambulishwa na viongozi wa timu hiyo. Akizungumza na...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Dakika 45 za mwisho ngumu Simba, Yanga
Wakati mechi ya watani wa jadi ikitarajiwa kufanyika Jumamosi, safu za ulinzi za Simba na Yanga zimeonekana kutokuwa makini, dakika 45 za kipindi cha pili.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SIMBA-YANGA-3.jpg)
VPL: YANGA 2-0 SIMBA, DAKIKA 90 ZIMEKWISHA
Kikosi cha timu ya Yanga Kikosi cha timu ya Simba Mashabiki wa Yanga. Mashabiki wa Simba.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6YfrdAE2a8owWCjVxs-pdKEEW5xFfshu0d0QHQORFKRCyie630KRIOoUUFNsRlFn3uC6-NqS2DF3uRRB2HWicSg/tambwe.jpg?width=650)
Tambwe apiga dakika 1373 Simba SC
Mshambuliaji wa Simba SC, Amis Tambwe. Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ndiye mchezaji pekee wa Simba aliyecheza dakika nyingi katika msimu mzima kwa kucheza dakika 1373. Wachezaji wa…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania