Mbassa ataka matatizo ya afya yatatuliwe
MBUNGE wa Biharamulo Magharibi Dk.Antony Mbassa (CCM),ameitaka serikali ieleze ina mikakati gani wa kuboresha masilahi ya watumishi wa sekta ya afya ili kutatua matatizo yanayojitokeza. Mbassa pia alitaka serikali ieleze...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kikwete: Matatizo daraja Kigamboni yatatuliwe haraka
9 years ago
Mwananchi11 Sep
PIRAMIDI YA AFYA: Matatizo ya mfumo wa mkojo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWc6viRHgk-axR1d0*XhhkG0pD3gCcGX5eMi6VI6kOCBGq8mZREnAj5VTkcFDi00w8FL9PBx8AvL-YuI4UKN7y9/Ludewa.jpg?width=650)
LUDEWA; AFYA, MAJI SAFI NA MAWASILIANO NI MATATIZO SUGU
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XghLf9AkOCw/VCmYsGwnbsI/AAAAAAAARm0/4LU9yUEYsiY/s72-c/3.jpg)
KINANA ATAKA WALIOSABABISHA MATATIZO KWENYE KIWANDA CHA CHAI MPONDE WAWAJIBIKE SASA HIVI
![](http://1.bp.blogspot.com/-XghLf9AkOCw/VCmYsGwnbsI/AAAAAAAARm0/4LU9yUEYsiY/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w2qyz4kRP94/VCmYihdFioI/AAAAAAAARmI/JXVXmO7T0v8/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c8oZKo2ODiQ/VCmY3q_5NgI/AAAAAAAARoA/uQFRtBxyj8I/s1600/5.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Mbassa awapasha mawaziriÂ
MBUNGE wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa (CHADEMA) amesema haridhishwi na majibu ya mawaziri ambayo ni ya ujumla pale wanapoulizwa maswali ya msingi. Mbali na hilo, ameihoji serikali ni lini...
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
Dk. Sheni ataka kuboreshwa uchunguzi wa afya
NA MWANDISHI WETU
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amezitaka nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Bara la Afrika kuimarisha huduma za maabara na utoaji wa elimu na uchunguzi wa maradhi ‘pathologia’.
Aliyasema hayo jana katika ukumbi wa Mikutano wa Afrika Mashariki, mjini Arusha, wakati akifungua Mkutano wa 12 wa Jumuiya ya APECSA kutoka Kanda ya Mashariki, Kati na Kusini mwa bara la Afrika.
Mkutano huo ambao hufanyika kila baada ya miaka miwili, kwa mwaka huu pia ulijumuisha...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Muhongo ataka sera ya afya kwa wafanyakazi
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amewaagiza makamishna na wakurugenzi wa sekta ya afya kuweka sera ya wafanyakazi kupima afya mara kwa mara. Alitoa agizo hilo mjini hapa...
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Pinda ataka sekta binafsi kuwekeza masuala ya afya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wataalamu wa afya kuangalia namna Sekta binafsi zinaweza kuwekeza katika masuala ya afya ili kuisaidia serikali katika kusimamia na kuendesha shughuli za utoaji huduma ambazo...