Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbassa ataka matatizo ya afya yatatuliwe

MBUNGE wa Biharamulo Magharibi Dk.Antony Mbassa (CCM),ameitaka serikali ieleze ina mikakati gani wa kuboresha masilahi ya watumishi wa sekta ya afya ili kutatua matatizo yanayojitokeza. Mbassa pia alitaka serikali ieleze...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Matatizo daraja Kigamboni yatatuliwe haraka

 Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam jana na kuagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujakamilika.

 

9 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Matatizo ya mfumo wa mkojo

Baada ya kumaliza mfululizo wa makala ya udogo wa maumbile ya uume, leo nawaletea mada nyingine kuhusu matatizo ya mfumo wa mkojo. Mfumo wa mkojo unaundwa na figo mbili, mirija miwili inayotoa mkojo katika figo kwenda katika kibofu, ijulikanayo kama ureta.

 

10 years ago

GPL

LUDEWA; AFYA, MAJI SAFI NA MAWASILIANO NI MATATIZO SUGU

Na Stephano Mango, Ludewa
Ludewa ni moja kati ya wilaya tano zinazounda mkoa mpya wa Njombe. Upande wa Kaskazini, Ludewa inapakana na Wilaya ya Njombe Vijijini na Wilaya ya Makete. Kusini Mashariki kuna Mkoa wa Ruvuma na Kusini Magharibi inapakana na Nchi ya Malawi na Ziwa Nyasa. Mheshimiwa Deogratius Haule Filikunjombe. Pia Ludewa ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Deogratius Haule Filikunjombe kwa tiketi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATAKA WALIOSABABISHA MATATIZO KWENYE KIWANDA CHA CHAI MPONDE WAWAJIBIKE SASA HIVI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wananchi wa kata ya Mbuzii (hawapo pichani).Katibu Mkuu leo alianza ziara yake katika kata ya Mbuzii ambapo alishiriki ujenzi wa ofisi ya chama sehemu ambayo inahistoria kwani ilitumika kwa kufanya mikutano ya harakati za kutafuta Uhuru na ni sehemu iliyojengwa ofisi ya kwanza ya Tanu wilaya ya Lushoto. Wananchi wa kata ya Mbuzi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbassa awapasha mawaziri 

MBUNGE wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa (CHADEMA) amesema haridhishwi na majibu ya mawaziri ambayo ni ya ujumla pale wanapoulizwa maswali ya msingi. Mbali na hilo, ameihoji serikali ni lini...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Dk. Sheni ataka kuboreshwa uchunguzi wa afya


NA MWANDISHI WETU
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amezitaka nchi za  Mashariki, Kati na Kusini mwa Bara la Afrika kuimarisha huduma za maabara na utoaji wa elimu na uchunguzi wa maradhi ‘pathologia’.
Aliyasema hayo jana katika ukumbi wa Mikutano wa Afrika Mashariki, mjini Arusha, wakati akifungua Mkutano wa 12 wa Jumuiya ya APECSA kutoka Kanda ya Mashariki, Kati na Kusini mwa bara la Afrika.
Mkutano huo ambao hufanyika kila baada ya miaka miwili, kwa  mwaka huu pia ulijumuisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muhongo ataka sera ya afya kwa wafanyakazi

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amewaagiza makamishna na wakurugenzi wa sekta ya afya kuweka sera ya wafanyakazi kupima afya mara kwa mara. Alitoa agizo hilo mjini hapa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda ataka sekta binafsi kuwekeza masuala ya afya

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wataalamu wa afya kuangalia namna Sekta binafsi zinaweza kuwekeza katika masuala ya afya ili kuisaidia serikali katika kusimamia na kuendesha shughuli za utoaji huduma ambazo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani