Mbwa hawa wanauzwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Nxc2T4cQzqI/VKqTWSllgtI/AAAAAAAG7cY/SvWlcJO2QK4/s72-c/IMG-20150105-WA029.jpg)
Mbwa hawa wanauzwa,wapo Mbweni Teta,wapo katika uangalizi mzuri,kwa anaehitaji mawasiliano haya 0754 452351,0715 452351,0786 452351
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Abakwa akimtembeza Mbwa
Mmanamke mwenye umri wa miaka 40 amebakwa akiwa anamtembeza Mbwa wake katika mtaa wa Salford nchini Uingereza.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/b8YL1Nsfi8lmGpYzAYFZIl4m9Yoy8SRPoP97aTHsP3BiP2okBCHZLzjfx6FLCr4WhTmbKB4UWPsyhWhErYI-zM94K0kyBDMS/IMG_7968.jpg?width=650)
MTOTO ALIVYOLIWA NA MBWA!
Johnson James na Idd Mumba Mtoto mmoja mkazi wa Malimbe jijini Mwanza aliyefahamika kwa jina la Jovina Rwegasira, 7, (pichani) aliyekuwa akisoma kwenye Kituo cha Chekechea cha ABC Malimbe, amefariki dunia baada ya kuvamiwa na mbwa 12 kisha kung’atwa hadi kufa baada ya kunyofolewa sehemu mbalimbali za mwili wake. Jovina Rwegasira enzi za uhai wake. Akizungumza na gazeti hili mama mzazi wa mtoto huyo, Chausiku Haruna alisema...
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Mbwa kitoweo murua China
Jamii ya Wachina husherekea sikukuu kila mwaka.Sherehe hizo huenda sambamba na ulaji wa vyakula mbalimbali vya asili ikiwemo Mbwa
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kundi la Mbwa mwitu kusakwa
>Kamanda wa Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, ametoa muda wa wiki moja kwa makamanda wa Polisi wa mikoa ya kanda hiyo, kushirikiana na wananchi, ili kuwasaka na kuwatia mbaroni vijana wanaojiita ‘mbwa mwitu’ wanaotishia usalama wa watu jijini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6Yt1Ju76Jx71A2Who7j4Yk5G5BE3LlFbHX4Sa2Hx-fvt4JONwpdWTpdo40uWEZcmlzArbLvbsklIgsJs7jxVITW/r.jpg?width=650)
AUNT ACHIZIKA NA BUSU LA MBWA
Stori: Imelda Mtema
DIVA wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameonekana kuchizika na busu la mbwa baada ya kunaswa akiwa amewabeba mbwa wawili na kufurahia mmoja wapo alipombusu. Diva wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel. Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Wema Sepetu, Kijitonyama, jijini Dar. Alipoulizwa furaha aliyokuwa nayo baada ya kubusiwa na mbwa huyo, Aunt alisema: “Haipimiki. Natamani na mimi… ...
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Taliban wajigamba na Mbwa wa Marekani
Kiongozi wa Taliban, Afghanistan,ameonekana akiwa na Mbwa wa jeshi la Marekani waliomkamata mwezi Disemba na kumuweka kama mfungwa wa kivita
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TYEYfrgIbk1AXzMzWSP1aoN8S*fgUyzg72ZwS7GNC0bB9LnEcffsXEyNChniHjClGPCDWvbEdour9ZiPI0hOPbU/mbwa.jpg?width=650)
MBWA WA UBALOZI WAMLA MTOTO!
NI vigumu kuamini kilichotokea lakini ndivyo ilivyokuwa! Mtoto Christian Alex (6) ameuawa kikatili kwa kuliwa na mbwa wanaodaiwa kuwa ni wa Ubalozi wa Qatar nchini Tanzania unaoongozwa na Balozi Jassim Mohammed Mubarak Daruwesh. Mtoto Christian Alex enzi za uhai wake. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Machi 26, mwaka huu Jangwani Beach, Kunduchi jijini Dar es Salaam ambapo mtoto huyo alishambuliwa na mbwa wa kigogo huyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania