Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbwa kitoweo murua China

Jamii ya Wachina husherekea sikukuu kila mwaka.Sherehe hizo huenda sambamba na ulaji wa vyakula mbalimbali vya asili ikiwemo Mbwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UKIWA NDANI YA JIJI LUOYANG NCHINI CHINA UWEZI KUKIKWEPA KITOWEO HIKI



Hapa jamaa akiwafungua Mbwa kamba baada ya kuwanyonga tayari kwa kitoweo
Hapa Mbwa wamesha katwa shingo wakisubiri kuchunwa ngozi
Wamechunwa na kuwekwa kwenye mifuko tayari kwa kusambaza kwenye mahotel na migahawa, ukiwa ndani china usichunguze nyama unayo kula maana usije kujuta kuingia ndani ya nchi ya China kwaiyo wewe songa tu na maisha kiroho safi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mji wa Shenzhen nchini China waweka marufuku ya ulaji wa paka na mbwa

Mji wa Shenzhen umekuwa mji wa kwanza nchini China kupiga marufuku ya uuzaji na ulaji wa nyama ya mbwa na paka.

 

11 years ago

Habarileo

Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa

JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa

Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

BBCSwahili

Auawa kwa kula kitoweo cha nyama India

Watu 6 wamekamatwa na polisi nchini India baada ya kumvamia na kumpiga mwanaume mmoja hadi kufa eti alikuwa amekula nyama ya ngombe.

 

5 years ago

BBCSwahili

Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia

Raia wa Uganda wanaoishi kaskakazini mwa wilya ya Kitgum wanakula nzige wa jangwani ambao wameharibi mimea yao kulingana na kituo cha habari cha Uganda radio Nnetwork URN.

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Dewji Blog

REVIVALE OF ISLAMIC HARTAGE FOUNDATION: Yatoa kitoweo cha Nyama Singida

SAM_0186Baadhi ya waumini wa madhehebu ya dini ya kiislamu wa mjini Singida wakipatiwa mgao wa sadaka ya chinjo lla nyama kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Haji ambapo jumla ya watu 16,104 walinufaika na sadaka hiyo ikiwa ni ya tekelezaji wa moja ya nguzo tano za dini ya kiislamu.

Na, Jumbe Ismailly

[SINGIDA] Taasisi ya Kiislamu ya Revivale of Islamic Hartage Foundation yenye makao yake makuu nchini Kuweit,Saudi Arabia imetoa msaada wa kitoweo cha nyama ya mbuzi na kondoo 2,667 wenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani