MENINA AFICHA KOVU PAJANI KWA TATUU
![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmykHZSccYVb*MBNyz7f0LXLoJSjAihLZBFNf6BzSeaWsp36pE12uBpGF83MYRMCXQT43UVGjlsT3SGx*Ss8ACGg/Meninah.jpg?width=650)
Na Musa Mateja Binti anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki, Menina Atick amelazimika kutumia mimu ya kujichora tatuu pajani ili kuziba kovu kubwa lililopo eneo hilo nyeti. Binti anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki, Menina Atick. Msanii huyo mwenye figa tata alinaswa na paparazi wetu maeneo ya Mikocheni kwenye Ukumbi wa Escape One akiwa amejichora tatuu na katika kufuatilia ikabainika kuwa, kovu kubwa lililoharibu eneo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/s72-c/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
9 years ago
Bongo Movies11 Nov
Tatuu Zamuumbua Esha Buheti
BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman kutengana, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumshauri staa huyo kukubaliana na matokeo.
Aunty Lulu aliyewahi kuwa mpenzi wa Bond, alimtaka mwenzake kukubaliana na matokeo kwani huenda muda ndiyo umefika na katika mapenzi, hilo ni jambo la kawaida.
“Sina la kuzungumza juu ya Bond maana sihusiani naye, mapenzi yalikuwa zamani ila kama uchumba umevunjika basi namshauri Wastara akubaliane tu na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGTRSOKNXYmj46XWVyLe3i5-XUEvSLqYeDauDzkpX3i2tPCsqclEEFWVorQ5thAaMN3yIpV*KeXu3fP50Yf9Or8E/esha.jpg)
TATUU ZAMUUMBUA ESHA BUHETI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4bIsJDjFjL7jlJDOhuONo8QDowvrWREasRlSozYfyCJCxmkKxY71h49x7fQfscGxGXJrKAtH9egK5aGEh4qJCg5PvEEGNDRG/tunda211.jpg)
TUNDA AJICHORA TATUU ZA WANAUME KIBAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO-B*qq0ZBwtsl0LGWfBZeNeFhw7BOYh33zAmgYkquu*pQX9MGDSYzJ6HER-BbKP2xd1fTO4wo8Wchdjoo-I4b3/msung.jpg?width=650)
ESHA BUHETI AOGOPA DHAMBI YA KUJICHORA TATUU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYsR1ZED93JoO4vq9xJHmxgoxFGWbaEDYHBtpR8MidNeCJd7D0iYMNP0n73X6H8uDI*UhHRspH*cC8UO3DCe0icF/jux650x650.jpg?width=650)
ZARI ‘AMMAIND’ ALIYEJICHORA TATUU JINA LA DIAMOND
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrI-pwXRwTF*rXj*jLrDlRJ7X-Eg1Tf4OtszGFQxl3c*3MD4b-PFGXTzT4Z85P0xkNjmCjaRUM070m4C6GE2c2eM/4.jpg)
JACK DUSTAN: WANAOJICHORA ‘TATUU’ ZA WAPENZI WANAJICHAFUA
10 years ago
CloudsFM19 Dec
MENINA KUFUNGA NDOA?
Msanii wa Bongo Fleva,Menina amepongezwa na mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao akiwa amevaa shela la harusi huku watu wakijiuliza huenda ameolewa kwa siri au anatarajia kufunga ndoa.
Baadhi ya mshabiki walimpongeza: sophybeiby @meninahladivah heee hongera ndo hata kunitonya mdogo wangu haya mwaya kila la kheri Nakupenda sana.
ramadhanijuma58 Umependeza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbX-UZWpCLC7vQwvuDx-xQBVkosKgE5iyMu67mD37yYXs9diIP3GG5PBJ0v-SepsPtVRerg8qVwNqRBycWIhq*1D/meninah.jpg)
MENINA:SIJATOA MIMBA