Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUNDA AJICHORA TATUU ZA WANAUME KIBAO

 Video queen Bongo, Tunda Sabasita. LICHA ya kudaiwa kutoka kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young D’, video queen Bongo, Tunda Sabasita anadaiwa kujichora tatuu za wanaume kibao mwilini mwake. Kwa mujibu wa chanzo kilichozungumza na Amani ni kuwa, ‘muuza nyago’ huyo kwenye video za Bongo Fleva haoni shida ya kujichora tatuu hizo na kwamba ndiyo furaha yake na kumbukumbu pindi anapokuwa nao. “Kwa sasa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU

Stori: Imelda Mtema
KATIKA hali inayoonesha kuna kitu kikubwa kinakuja mbeleni, msanii wa filamu, Chuchu Hans amejichora ‘tatuu’ inayosomeka kwa jina la Ray huku anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ naye akiwa amejichora tatuu inayosomeka kwa jina la Chuchu. Ray na Chuchu. Picha ambazo gazeti hili limezinasa zinawaonesha wawili hao wakipigia ‘promo’ uhusiano wao huku wadau...

 

9 years ago

Bongo Movies

Tatuu Zamuumbua Esha Buheti

BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman kutengana, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumshauri staa huyo kukubaliana na matokeo.

Aunty Lulu aliyewahi kuwa mpenzi wa Bond, alimtaka mwenzake kukubaliana na matokeo kwani huenda muda ndiyo umefika na katika mapenzi, hilo ni jambo la kawaida.

“Sina la kuzungumza juu ya Bond maana sihusiani naye, mapenzi yalikuwa zamani ila kama uchumba umevunjika basi namshauri Wastara akubaliane tu na...

 

9 years ago

GPL

TATUU ZAMUUMBUA ESHA BUHETI

LICHA ya kula kiapo kuwa hatokuja kujichora tatuu ya aina yoyote mwilini mwake miezi kadhaa iliyopita, staa wa filamu Bongo, Esha Buheti hivi karibuni ameumbuka baada ya kunaswa akiwa na tatuu kibao mwilini mwake. Staa wa filamu Bongo, Esha Buheti. Tukio hilo lilitokea kwenye bethidei ya mwigizaji Wema Sepetu iliyofanyika katika Ukumbi wa Wema, Kijitonyama jijini Dar ambapo paparazi wetu baada ya kumfoitoa picha kadhaa mrembo...

 

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI AOGOPA DHAMBI YA KUJICHORA TATUU

Stori: Imelda Mtema
MSANII wa filamu za Kibongo, Esha Buheti, amesema kuwa anaweza akafanya vitu vingi vya kujiremba lakini anaogopa sana kujichora tatuu kwani ni dhambi. Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buheti. Akizungumza na mwandishi wa habari hii,  Esha alisema kuwa kitu ambacho anahisi inaweza kuwa ni moja ya dhambi mbaya kabisa ni kujichora tatuu mwilini kwani katika dini yoyote au dhehebu lolote halikubali mtu...

 

10 years ago

GPL

MENINA AFICHA KOVU PAJANI KWA TATUU

Na Musa Mateja
Binti anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki, Menina Atick amelazimika kutumia mimu ya kujichora tatuu pajani ili kuziba kovu kubwa lililopo eneo hilo nyeti. Binti anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki, Menina Atick. Msanii huyo mwenye figa tata alinaswa na paparazi wetu maeneo ya Mikocheni kwenye Ukumbi wa Escape One akiwa amejichora tatuu na katika kufuatilia ikabainika kuwa, kovu kubwa lililoharibu eneo...

 

10 years ago

Vijimambo

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi


Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...

 

9 years ago

GPL

ZARI ‘AMMAIND’ ALIYEJICHORA TATUU JINA LA DIAMOND

Hamida Hassan Mahaba kweli hayazuiliki! Mrembo mmoja wa mjini ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, hivi karibuni alijikuta akikejeliwa na mpenzi wa Nasibu Abdul “Diamond’, Zarinah Hassan ‘Mama Tiffah’ baada ya mdada huyo kutupia picha mtandaoni akiwa amejichora tatuu yenye jina la Diamond kwenye matiti.  Zarinah Hassan ‘Mama Tiffah’. Baada ya mrembo huyo kuitupia picha hiyo na kujinasibu kuwa anampenda...

 

9 years ago

GPL

JACK DUSTAN: WANAOJICHORA ‘TATUU’ ZA WAPENZI WANAJICHAFUA

Stori: Imelda Mtema SOMO! Mrembo aliyejipatia umaarufu kupitia Shindano la Maisha Plus, Jacqueline Dustan ‘Jack’ ameweka wazi kuwa baadhi ya mastaa wanaojichora ‘tatuu’ za majina ya wapenzi wao ni kujichafua kwa sababu wanapoachana wanapata tabu kuzifuta. Mrembo aliyejipatia umaarufu kupitia Shindano la Maisha Plus, Jacqueline Dustan ‘Jack’. Akizungumza na gazeti hili, Jack alisema kwamba, katika maisha yake hawezi...

 

10 years ago

GPL

VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN

Issa Mnally
VIBAKA ambao hawakufahamika mara moja mwishoni mwa wiki iliyopita, walivunja kioo kidogo cha gari la nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ na kumkomba vitu mbalimbali vikiwemo power window, kompyuta mpakato na fedha katika tukio lililotokea Kigamboni, jijini Dar es Salaam. Nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’. Katika usiku ambao msanii huyo ilikuwa apande na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani