TUNDA AJICHORA TATUU ZA WANAUME KIBAO
![](http://api.ning.com:80/files/4bIsJDjFjL7jlJDOhuONo8QDowvrWREasRlSozYfyCJCxmkKxY71h49x7fQfscGxGXJrKAtH9egK5aGEh4qJCg5PvEEGNDRG/tunda211.jpg)
Video queen Bongo, Tunda Sabasita. LICHA ya kudaiwa kutoka kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young D’, video queen Bongo, Tunda Sabasita anadaiwa kujichora tatuu za wanaume kibao mwilini mwake. Kwa mujibu wa chanzo kilichozungumza na Amani ni kuwa, ‘muuza nyago’ huyo kwenye video za Bongo Fleva haoni shida ya kujichora tatuu hizo na kwamba ndiyo furaha yake na kumbukumbu pindi anapokuwa nao. “Kwa sasa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU
9 years ago
Bongo Movies11 Nov
Tatuu Zamuumbua Esha Buheti
BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman kutengana, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumshauri staa huyo kukubaliana na matokeo.
Aunty Lulu aliyewahi kuwa mpenzi wa Bond, alimtaka mwenzake kukubaliana na matokeo kwani huenda muda ndiyo umefika na katika mapenzi, hilo ni jambo la kawaida.
“Sina la kuzungumza juu ya Bond maana sihusiani naye, mapenzi yalikuwa zamani ila kama uchumba umevunjika basi namshauri Wastara akubaliane tu na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGTRSOKNXYmj46XWVyLe3i5-XUEvSLqYeDauDzkpX3i2tPCsqclEEFWVorQ5thAaMN3yIpV*KeXu3fP50Yf9Or8E/esha.jpg)
TATUU ZAMUUMBUA ESHA BUHETI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO-B*qq0ZBwtsl0LGWfBZeNeFhw7BOYh33zAmgYkquu*pQX9MGDSYzJ6HER-BbKP2xd1fTO4wo8Wchdjoo-I4b3/msung.jpg?width=650)
ESHA BUHETI AOGOPA DHAMBI YA KUJICHORA TATUU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmykHZSccYVb*MBNyz7f0LXLoJSjAihLZBFNf6BzSeaWsp36pE12uBpGF83MYRMCXQT43UVGjlsT3SGx*Ss8ACGg/Meninah.jpg?width=650)
MENINA AFICHA KOVU PAJANI KWA TATUU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYsR1ZED93JoO4vq9xJHmxgoxFGWbaEDYHBtpR8MidNeCJd7D0iYMNP0n73X6H8uDI*UhHRspH*cC8UO3DCe0icF/jux650x650.jpg?width=650)
ZARI ‘AMMAIND’ ALIYEJICHORA TATUU JINA LA DIAMOND
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrI-pwXRwTF*rXj*jLrDlRJ7X-Eg1Tf4OtszGFQxl3c*3MD4b-PFGXTzT4Z85P0xkNjmCjaRUM070m4C6GE2c2eM/4.jpg)
JACK DUSTAN: WANAOJICHORA ‘TATUU’ ZA WAPENZI WANAJICHAFUA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnau2eNgjtcNFay145VK6a*ik3ULovkIo44AaP05stxJCmhfhI-VMDLfn1QfQ-ZnZHXrccG8Stsc9MPc2ZBrjaN/fghdryery.gif)
VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN