Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgawahawa wa kwanza mkubwa wa kiafrika wafunguliwa Ulaya

IMG_1562

Mgeni rasmi Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mh. Dora Msechu (wa tatu kushoto) akiwa na mwenyeji wake Meya wa Trollhattan, Paul Akerlund (wa tatu kulia), Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania, Tagie Daisy Mwakawago (kulia), Mmiliki wa mgahawa unaotoa huduma za chakula cha kitanzania unaofahamika kama “Lunch by Chef Issa” (The house of Tanzanian food) uliopo katika mji wa Trollhattan, Sweden unaomilikiwa na mtanzania Chef Issa Kapande (wa pili...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Makinda ya Kiafrika yatakayoitikisa Ulaya

Baada ya kumalizika Fainali za Kombe la dunia huko Brazil, kipyenga kingine kimeshapulizwa barani Ulaya Katika Ligi Kuu mbalimbali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Raheem Sterling: Soka ulaya inahitaji meneja wa asili ya KiAfrika

Maendeleo katika mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi yatakuja tu kwenye sekta ya mpira wa miguu pale watu weusi zaidi watapewa nafasi zakuwa mameneja.

 

10 years ago

Vijimambo

RADIO DW-BONN YAMUHOJI KAMANDA RAS MAKUNJA,AZUNGUMUZIA MAFANIKIO NA CHANGA MOTO ZA MUZIKI WA KIAFRIKA BARANI ULAYA



 Bonn,Asubuhi na mapema tu Radio Deutch Welle Idhaa ya Kiswahili inayorusha matangazo yake mjiniBonn,ujerumani, alimwamkia mwanamuziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja kiongozi wa bendi maarufu ya dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni.katika mahojianona mtangazaji mahiri Bi.Swaumu Mwasimba wa radio DW na kipindi cha muziki na utamaduniKamanda Ras Makunja anazungumzia mafanikio na changamoto za muziki wa kiafrika barani ulaya.pia amezungumizia jinsi muziki wa kiswahili...

 

10 years ago

Vijimambo

NGOMA AFRICA BAND NA MZIMU WAO WA MZIKI WA DANSI ! WENYE MVUTO MKUBWA BARANI ULAYA

Bendi maarufu ya mziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band,ni bendi ya kwanza ya kiafrika iliyojiwekea nafasi ya pekee katika nyoyo za washabiki uko ughaibuni.Bendi hiyo ambayo imetajwa kuwa ndio bendi ya kwanza ya kiafrika kutumia muziki wake kutoka uswahilini kama daraja la kuwafikia washabiki wake  katika kona zote duniani,pia imetajwa na vianzo vya habari vya kimataifa  kuwa  mdundo wa mziki wake umekuwa ni urimbo unao wanasa na kuwatia kiwewe washabiki, popote pale duniani.Bendi ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kifo cha kwanza chathibitishwa Ulaya

Mtalii wa Uchina ameaga dunia Ufaransa kutokana na virusi vya corona - kifo cha kwanza nje ya Asia.

 

10 years ago

Mwananchi

Sunday Manara ‘Kompyuta’ Mtanzania wa kwanza Ulaya

Hivi sasa Sunday Ramadhan Manara ni babu mwenye wajukuu, ameacha mazoezi, amekuwa ‘bonge’, anakumbuka alipokuwa mchezaji alikuwa na kilogramu 74, lakini sasa anazo 110.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jaribio la kwanza la chanjo dhidi ya virusi vya corona laanza Ulaya

Chanjo hii imetetengenezwa katika Chuo Kikuu cha Oxford, kuna matumaini ya kufanikiwa kwa chanjo hii?

 

9 years ago

Michuzi

MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ameweza kutoa zao la vijana wengine kutoka Mkubwa na Wanawe ambao wanafanya muziki wa Taarab na kuwabariki jina la Moyo Band, band hii imechanganya wanawake na wanaume na kwa mala ya kwanza itatambulishwa siku ya Ijumaa ya tarehe 11 pale Dar Live wakati Yamoto Band wakizindua Chupa lao jipya ambalo limefanyika SA Cheza kwa Madoido. Zaidi msikilize Saidi Fella Akielezea......

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa

01

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.

Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.

Katibu Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani