Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgeveke, Isihaka wachuana Simba

Simba inatafuta beki wa kati anayeweza kwenda sawa na Joseph Owino, raia wa Uganda na sasa inawajaribu, Joram Mgeveke na Hassan Isihaka ili kupata beki mwenza wa kati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Isihaka: Umri tatizo Yanga

Nahodha wa Simba, Hassan Isihaka amesema kinachowasumbua sasa Yanga ni umri wa wachezaji wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtiro, Mbonde, Isihaka waitwa Taifa Stars

Mchezaji mkongwe nchini, Abubakar Mtiro amerejeshwa kwenye kikosi cha Taifa Stars cha kocha Mart Nooij kinachojiandaa kucheza na Swaziland baadaye mwezi huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Isihaka, Kessy waachwa nje Stars Maboresho

Licha ya kuonyesha kiwango cha juu kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi iliyomalizika Januari 13, mabeki wa Simba, Hassan Isihaka na Hassan Kessy, hawamo kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Maboresho kinachoundwa na wachezaji wenye umri chini ya miaka 22, kilichotangazwa jana.

 

10 years ago

Vijimambo

HASSAN ISIHAKA NA RAMADHAN SINGANO KUFANYA MAJARIBIO REAL MADRID

kikosi cha wekundu wa Msimbazi
Endapo watafanikiwa kucheza timu ya vijana ya klabu tajiri duniani, Real Madrid ya Uhispania, basi itakuwa ni habari njema kwa soka la Tanzania, ambayo wachezaji wake kadhaa wamekuwa wakifeli majaribio ya kucheza soka la kulipwa ughaibuni, hasa nchi za Ulaya katika miaka ya nyuma.

Kufuatia tetesi za kutakiwa kwenda kufanya majaribio Real Madrid, mashabiki wa soka wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam wamewaombea wachezaji wao kila la kheri katika majaribio yao ili...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema, CCM wachuana umeya

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na CCM vimechuana katika uchaguzi wa umeya na uenyekiti wa halmashauri za wilaya katika mikoa mbalimbali nchini.     

 

10 years ago

Tanzania Daima

Marando, Baregu, Safari wachuana

PAZIA la uchukuaji fomu za kugombea uongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jana lilifungwa kwa mnyukano wa aina yake, baada ya Prof. Abdallah Safari, Prof. Mwesiga Baregu...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema, CCM wachuana matangazo ya televisheni

Vyama vya Chadema na CCM vimeingia katika mchuano wa kuwania nafasi ya kurusha matangazo ya moja kwa moja ya kampeni za wagombea urais katika televisheni Jumamosi hii.

 

10 years ago

Habarileo

Chadema wachuana ubunge Tabora Mjini

WANACHAMA watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametangaza kuingia katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa katika Ukawa kuwania ubunge jimbo la Tabora Mjini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon d'Or

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani