Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro huu wa Tanzania, Kenya ni hasara kwa uchumi

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete na mwenzake wa Kenya, Uhuru Kenyatta wamefanikiwa kuondoa sintofahamu iliyoibuka kati ya nchi hizo mbili na kutishia kuvuruga sekta ya utalii ambayo inayoingiza fedha nyingi za kigeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Mgufuli ahidi kuboresha uchumi wa nchi kwa kuondoa vikwazo Tanzania na Kenya

Mgombea Uraisi kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dokta John Pombe Magufuli amesema atakapoingia madarakani atahakikisha  anasimamia fursa zilizopo za kibiashara baina ya nchi jirani ya Kenya kwa kuondoa vikwazo kwa lengo la kuimarisha uchumi wa nchi hizo mbili.

Kenya ni moja ya nchi ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi,hivyo kufunguliwa kwa fursa za kibiashara kutasaidia kukuza uchumi wa nchi zote mbili.

Kadri siku zinavyojongea kufanyika kwa uchaguzi mkuu Octoba 25 mwaka huu,vyama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MGOGORO WA UCHUMI WA GESI: Usaliti kwa wenye nchi

NI kawaida kwa baadhi ya viongozi wenye dhamana ya utekelezaji wa shughuli za serikali kuwa na jeuri, kiburi na dharau. Ni kawaida ya baadhi ya wasomi kuwa na majivuno mbele...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola: Hasara kubwa kwa Kenya Airways

Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways linasema limepata hasara ya dola milioni 116 kutokana na mlipuko wa Ebola Afrika Magharibi

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania na Kenya zimalize mgogoro

Tangu Desemba 22 mwaka jana, kumekuwa na taarifa kwamba Serikali ya Kenya imezuia magari ya Tanzania, maarufu ‘shuttle’, yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii kati ya jijini Arusha na Moshi mkoani Kilimanjaro kwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata uliopo Nairobi nchini Kenya.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara wateswa na mgogoro wa Kenya, Tanzania

Moshi. Serikali imeombwa kuingilia kati mgogoro unaoendelea baina yake na nchi jirani ya Kenya, kuhusu kuzuiliwa kwa magari ya Tanzania ya kusafirisha watalii kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata ili kuleta usawa na ustawi wa sekta ya utalii kwa nchi zote mbili.

 

9 years ago

StarTV

Tanzania yapata hasara ya zaidi ya bil. 230 kwa mwaka 

Wakulima na wadau wa kilimo cha mazao yanayotumika kuzalisha mafuta ya kupikia, wamelalamikia uingizwaji wa mafuta hayo kutoka nje ya nchi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara hatua inayochangia kupungua kwa soko la mafuta yanayozalishwa nchini.

Takribani asilimia 50 ya mafuta yanayotumika nchini yanatoka nje ya nchi ambapo mafuta yanayozalishwa nchini yanatajwa kutosheleza mahitaji ya soko la ndani ikiwa ni pamoja na ziada inayoweza kuuzwa nje ya nchi.

Wafanyabishara wa mazao ya mafuta...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ujumbe wa Tanzania wakutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi kujadili uchumi wa Tanzania

DSCI0119

Baadhi ya viongozi wa Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini mkutano uliokuwa ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile, ambapo ujumbe kutoka Tanzania ulikutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Phippe Dongier hawapo kwenye picha kwa madhumuni ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu uchumi wa Tanzania. Kutoka kushoto ni Bw. John Cheyo ambaye ni Kamishna wa Bajeti, anayefuata ni Katibu...

 

9 years ago

Michuzi

Fastjet kuzindua safari kati ya Tanzania na Kenya mwezi huu


Shirika la ndege la bei nafuu lapanua wigo wa safari zake barani Afrika na kufungua safari ya kimataifa ya moja kwa moja kutoka Nairobi kwenda Dar es Salaam na Kilimanjaro.
 Kampuni ya Fastjet imetangaza safari yake mpya ya kimataifa ya kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuwa itaanza rasmi mnamo tarehe 11 Januari 2016.Fastjet imepewa ruhusa na serikali ya Kenya kufanya safari zake nchini humo kufuatia makubaliano ya pamoja na mashirika yanayotoa huduma za usafiri wa anga kati ya nchi...

 

11 years ago

Michuzi

MARTIN KADINDA KUITANGAZA TANZANIA KATIKA NCHI ZA KENYA NA ZAMBIA MWAKA HUU


Mshindi wa tuzo za mitindo na mbunifu aliyetamba na mavazi ya single button kwa takribani miaka miwili sasa Martin Kadinda anategemea kuanza ziara ya kuonyesha mavazi yake katika nchi kadhaa  za kiafrica.

Kadinda amesema kuwa kwa mwaka huu amepanga kufanya maonesho yake nje ya nchi kwa sana kwa kuwa huko ndio kunaitangaza nchi na brand yake kwa ujumla.
Show yake ya kwanza kwa mwaka huu itakuwa Nchini Kenya katika Jiji la Nairobi usiku wa tarehe moja akiwa na wabunifu kutoka tanzania na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani