Mgogoro huu wa Tanzania, Kenya ni hasara kwa uchumi
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete na mwenzake wa Kenya, Uhuru Kenyatta wamefanikiwa kuondoa sintofahamu iliyoibuka kati ya nchi hizo mbili na kutishia kuvuruga sekta ya utalii ambayo inayoingiza fedha nyingi za kigeni.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania