Tanzania na Kenya zimalize mgogoro
Tangu Desemba 22 mwaka jana, kumekuwa na taarifa kwamba Serikali ya Kenya imezuia magari ya Tanzania, maarufu ‘shuttle’, yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii kati ya jijini Arusha na Moshi mkoani Kilimanjaro kwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata uliopo Nairobi nchini Kenya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Mar
Wafanyabiashara wateswa na mgogoro wa Kenya, Tanzania
Moshi. Serikali imeombwa kuingilia kati mgogoro unaoendelea baina yake na nchi jirani ya Kenya, kuhusu kuzuiliwa kwa magari ya Tanzania ya kusafirisha watalii kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata ili kuleta usawa na ustawi wa sekta ya utalii kwa nchi zote mbili.
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Mgogoro huu wa Tanzania, Kenya ni hasara kwa uchumi
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete na mwenzake wa Kenya, Uhuru Kenyatta wamefanikiwa kuondoa sintofahamu iliyoibuka kati ya nchi hizo mbili na kutishia kuvuruga sekta ya utalii ambayo inayoingiza fedha nyingi za kigeni.
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Mgogoro wa mpaka Kenya na Somalia
Serikali ya Somalia leo hii itafungua rasmi kesi dhidi ya kenya katika Mahakama ya kimataifa (ICJ) kufuatia mgogoro wa mpaka baina ya nchi hizo mbili.
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Kenya na TZ kutatua mgogoro wa kitalii
serikali za Tanzania na Kenya zitakutana mjini Arusha kutafuta suluhu ya mzozo kuhusu marufuku ya magari ya kitalii kutoka TZ.
10 years ago
Mwananchi13 Oct
TFF, Bodi ya Ligi zimalize mvutano kwa maridhiano
Bodi ya Ligi (TPLB), ambayo inaendesha Ligi Kuu ya Soka na Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kwa sasa iko kwenye mzozo mkubwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
9 years ago
Michuzi14 Oct
KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015
KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6THOCTOBER 2015
Ladies and Gentlemen;I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...
Ladies and Gentlemen;I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J37QbebcH6w/VOXEPAuYMBI/AAAAAAAHEgU/vqph2IWt7m0/s72-c/Untitled.png)
The African Development Bank Group Supports Power Trade between Kenya and Tanzania ADF USD 144.9 million Loan to Kenya — Tanzania Power Interconnection Project
![](http://1.bp.blogspot.com/-J37QbebcH6w/VOXEPAuYMBI/AAAAAAAHEgU/vqph2IWt7m0/s1600/Untitled.png)
The project will allow the two countries to exchange power. In addition, the Kenya-Tanzania Interconnection Project plays an important role in promoting regional integration through power trade.
The project is expected to improve the supply, reliability and affordability of electricity in the...
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Mgogoro wa Burundi, Tanzania yazungumza
Muungano wa Afrika, AU, umetangaza kwamba umejiandaa kuwatuma zaidi ya wanajeshi 5,000 wa kudumisha amani nchini Burundi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania