Mh. Stephen Wasira na Mh. Augustino Lytonga Mrema wazungumzia Umuhimu wa Muungano
)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QJ1iNjevSpE/VX2P12o66-I/AAAAAAABQLI/AhdAjgo713U/s72-c/DSC_0112-FILEminimizer.jpg)
MH. STEPHEN WASIRA AJIVUNIA REKODI YA UADILIFU KATIKA MBIO ZA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-QJ1iNjevSpE/VX2P12o66-I/AAAAAAABQLI/AhdAjgo713U/s640/DSC_0112-FILEminimizer.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 May
UCHAGUZI CCM 2015: Stephen Wasira, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Stephen Wasira alizaliwa mwaka 1945 katika Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara (ana miaka 70). Alisoma katika shule tatu tofauti, ya kwanza ni Shule ya Msingi Bariri 1956-1959, ya pili ni Shule ya Msingi Nyambitilwa 1960–1961 na kisha akamalizia Shule ya Msingi Kisangwa mwaka 1962 - 1963.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EY_GBB6MTsQ/U2Z4oHVj3bI/AAAAAAAFfWw/JMJg-ldPKqo/s72-c/unnamed+(59).jpg)
Uzinduzi wa Tovuti ya Mhe. Stephen Wasira jijini Dar es salaam leo
Mhe. Stephen Wasira amezindua tovuti itasaidia umma kupata taarifa zinazohusu shughuli za maendeleo na changamoto katika jimbo la Bunda na nyinginezo.
Taarifa hizi zinapatikana kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza. Unaweza kuzipata kulingana na kifaa (device) ukitumiacho kama desktop/laptop computer (PC), tablet na simu za mkononi. Mbunge wa Serengeti Mhe. Dr. Kebwe alikuwepo pia.
Tovuti inapatikana:
www.stephenwasira.co.tz
Muonekano wa tovuti ya Mhe Stephen Wasira wakati wa...
![](http://2.bp.blogspot.com/-EY_GBB6MTsQ/U2Z4oHVj3bI/AAAAAAAFfWw/JMJg-ldPKqo/s1600/unnamed+(59).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s72-c/1.jpg)
MBIO ZA URAISN 2015; STEPHEN WASIRA NAYE ATANGAZA NIA AKIWA MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s640/1.jpg)
Mei 31, 2015. Wasira anakuwa mtu wa tatu kutangaza nia hiyo, akitanguliwa na Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere na Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowasa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tdkcxcAu0OI/VWsKKZZmXbI/AAAAAAAAUXo/dDAIWB4qKmI/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T7oyim58l_4/VWsKPsc-McI/AAAAAAAAUX0/5HAW9Tr1hJ8/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5IIALrUTeag/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s72-c/2........jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akutana na Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s640/2........jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uwsiC536eQ/VXgxN5-Z_lI/AAAAAAADUWA/DToNU_e8yfc/s640/1......jpg)
Na. Issa Sabuni, WKCUWaziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/q_bdzhEEess/default.jpg)
11 years ago
Habarileo13 Mar
Wasira- Watanzania lindeni muungano
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania