MIJI NA ALAMA ZAKE KUU
TORONTO SKYLINE, CANADA
kupitia mto potomac, madhari na mji wa washington DC unavyoneka kwa mbali, mnara unaoonekana ni alama kuu ya DC
TAJ MAHAL MUMBAI, INDIA
New York mji wa wasiolala, sanamu hilo ndio alama yake kuu, statue of Liberty
BOSTON
BRAZILIAN STATUE OF JESUS
DAR ES SALAAM, mnara wa askari kama unavyoeleweka, alama ya jiji la Dar es salaam
SYDNEY OPERA HOUSE, AUSTRALIA
ZANZIBAR. Bait el jaib alama kuu mji wa Zanzibar
EIFFEL TOWER IN PARS, FRENCH
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. WAKATI kampeni za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikizidi kupamba moto, vipimo vinaonesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ana alama 6 na wa Ukawa, Edward Lowassa ana alama 9 katika mambo mbalimbali ya kikazi, Uwazi linachambua. Uwazi lilianza kwa kuchimba kwenye upande wa mambo yaliyozua maswali mengi ambapo kipimo kinaonesha...
5 years ago
CCM Blog
10 years ago
Michuzi10 May
DRFA YACHEKELEA TIMU ZAKE KUMALIZA TATU BORA LIGI KUU
Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam kimeonesha furaha yake baada ya timu tatu zilizo katika himaya yake, kumaliza katika nafasi za juu kwenye ligi kuu Tanzania bara iliyomalizika jumamosi mei 9,2015.
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...
10 years ago
GPLMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE
Kiongozi wa Kamati ya Ushindi kwa CCM kutoka Kigoma, Nicholaus Zacharia (kulia), akimtambulisha Yusuf Manji katika uzinduzi huo.
Mgombea nafasi ya udiwani Kata ya Mbagala Kuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Manji (kushoto), akihutubia wananchi na makada wa chama hicho katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika eneo la Kichemuchemu Kaskazini Dar es Salaam leo jioni.…
...
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Mgombea udiwani kata ya Mbagala Kuu (CCM) Yusuf Manji azindua kampeni zake Dar
10 years ago
MichuziMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
GPL
ALAMA ZINAZOTUMIWA NA FREEMASONS
Mpenzi msomaji wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikizungumzia vikao vya Freemasons ambapo huwa mwenyekiti wao wanamwita Master na anakuwa na wasaidizi wawili. Kwenye ibada zao mwenyekiti huwa anakaa upande wa Mashariki, msaidizi mmoja anakaa mbele yake akimtazama na mwingine anasaidia shughuli nzima inayoendelea. Kunakuwa na mtu mwingine ambaye ndiye mwongozaji wa sala na wakati wakisali huwa Mungu wanamwita Fundi Mkuu...
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Matumizi ya alama za vituo
Matumizi ya alama za vituo ni mada ambayo nimeandikia makala chache na wiki iliyopita nilieleza juu ya matunizi ya nukta, mkato na nuktapacha. Kwa mwandishi yeyote anayeandika makala au taarifa kwa Kiswahili hana budi kujua matumizi ya alama hizi pamoja na nyingine zinazofuata.      Katika makala haya nataka sasa kuendelea na mada hii kwa kueleza matumizi ya alama nyingine kama alama ya mshangao, kiulizo, mshangao, mabano, na ritifaa.Â
10 years ago
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10