MIKE: TAFF HAWAKUNITENDEA HAKI
![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbarfOZjvMIL5d4aWsf5cw2kkOiTjQ6bhL-OXLrAF8XhzbVaBK5E3E9844VhOQO*fzd10Ozg1k91Fm93S3te9aW/4.jpg?width=650)
Stori: Hamida Hassan STAA wa filamu Bongo, Mike Sangu, amefungukia ishu nzima ya kuvuliwa cheo cha Uenyekiti wa Vijana Taifa chini ya Shirikisho la Filamu Tanzania (Taff) na kusema shirikisho hilo halikumtendea haki. Staa wa filamu Bongo, Mike Sangu, Mike alisema hayo alipozungumza na Risasi Jumamosi, ambapo alisema alishangaa kuona anavuliwa cheo baada ya kujiunga na Klabu ya Bongo Movie Unity akitokea Taff kitu ambacho si...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMIKE AIKACHA TAFF, AJIUNGA BONGO MOVIE
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
TAFF yawapongeza wasanii Hamadombe
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifamba, amewapongeza wasanii wa kundi la sanaa za maigizo la Hamadombe la jijini Dar es Salaam, kwa juhudi zao za kuuza kazi...
11 years ago
GPLTAFF, BONGO MUVI, NANI ALIYEWAROGA?
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Bongo Muvi, Taff wamaliza tofauti zao
Simon Mwakifwamba.
HAMIDA HASSAN
BIFU kubwa lililokuwepo kati ya wasanii wa fi lamu wanaounda Bongo Movie na wale wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘Taffff ’ limeyeyuka baada ya viongozi wa pande zote mbili kukutana na kuona kuna ulazima wa kuwa kitu kimoja.
Taarifa za pande hizo mbili kumaliza tofauti zao zilitua kwenye dawati la gazeti hili na kuthibitishwa na Rais wa Taff , Simon Mwakifwamba ambaye alisema wameona aufanyie kazi msemo usemao Umoja ni Nguvu wakiamini wakiwa wamoja wanaweza...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Harakati za TAFF kuhusu Sera za Filamu na Miliki Bunifu
9 years ago
MichuziWAZEE TAFF WAMWOMBA WAKIFAMBA AGOMBEE TENA NAFASI YA URAS
Msemaji wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Ahmed Olotu (mzee Chilo) akisoma waraka wa kupinga uamuzi wa Rais wa Shirikisho hilo Simon Mwakifwamba kwa kutogombea tena nafasi ya Urais wa Shirikisho hilo katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO). Kushoto ni Mzee Ramadhani Ditopile.
9 years ago
Bongo523 Nov
TAFF yaeleza walipoishia katika kuandaa sera mpya ya filamu na miliki bunifu
![Raisi wa shirikisho la filamu Mwakifamba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/06/Raisi-wa-shirikisho-la-filamu-Mwakifamba-200x133.jpg)
Rais wa shirikisho la filamu nchi Tanzania (TAFF) Simon Mwakifamba ameeleza walipoishia katika juhudi za kuandaa sera mpya ya filamu pamoja na miliki bunifu.
Amesema hayo baada ya baadhi ya wadau ndani ya tasnia ya filamu kudai shirikisho hilo halijafanya chochote kwa ajili ya maendeleo ya tasnia ya filamu.
Kupitia ukurasa wake wa facebook, Mwakifanya aliandika: TAFF pamoja na vyama vyake wamefanya jitihada kubwa sana ambazo serikali ingezitekeleza nasema tungekuwa na mfumo nzuri sana wa...
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA
TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA
WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015.
Baada ya salamu hizo kwenu tumekuja hapa kwa tukiwa na ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HNxY9xdnu-4/Xujj7WyJA0I/AAAAAAALuIU/6g-ZzRNlvRAeRXEBdkYPz-oWuWIMPFC_QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu, Shirikianeni na TCRA Upatikanaji wa Haki za Mtandao-Waziri Kombo
![](https://1.bp.blogspot.com/-HNxY9xdnu-4/Xujj7WyJA0I/AAAAAAALuIU/6g-ZzRNlvRAeRXEBdkYPz-oWuWIMPFC_QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-egpneANz2LE/Xujj7WHC6oI/AAAAAAALuIY/634LGgxVMJU23Qi3NVQRxgA5qMJE-5tPgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)