Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISA YA MAREHEMU MAMA GREN JUDICA MOSHI Washington DC

Ndugu, jamaa na marafiki mbalimbali, jana (Novemba mosi 2015) walijumuika na wanafamilia katika misa na kusherehekea maisha ya Mama Gren Judica Moshi iliyofanyika hapa Washington DCWatoto wawili wa Marehemu Donald na James Moshi, na ndugu wengine, waliungana kwa misa hiyo iliyofanyika alasiri na kufatiwa na chakula cha pamoja
Mchungaji kiongozi wa Kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministries Ferdnand Shideko, akiwakaribisha watu waliohudhuria misa hiyo
Mch John Kadyolo akifungua misa kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA: MISA YA MAREHEMU MAMA GREN JUDICA MOSHI

C:\Users\Manase User\Downloads\IMG_9141.jpgGren J Moshi: Sunrise 15 FEB 1948 – Sunset 24 OCT 2015
Familia ya Herman Moshi inapenda kuwataarifu ndugu, jamaa na marafiki waishio DMV na vitongoji vyake kwamba misa ya kumuombea mpendwa mama yao Bibi Gren Judica Moshi itafanyika siku ya Jumapili November 1st 2015 kuanzia saa tisa na nusu mpaka saa kumi na moja (3:30 – 5:00pm) katika kanisa la Faith Moravian Church lililopo 405 Riggs Rd NE, Washington DC 20011.
Mama yetu mpendwa Gren alifariki dunia ghafla Tanzania, siku ya Jumamosi October...

 

11 years ago

GPL

MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MAMA MRS AURELIA FRANCIS NSOLO DMV‏

Picha ya marehemu mama Mrs Aurelia Francis Nsolo aliyefariki Marcha 17, 2014 Tanzania na kufanyika misa ya kumbukumbu College Park, Maryland. siku ya Jumapili March 23, 2014.
Wachungaji walioongoza misa hiyo wakiiombea familia ya marehemu kwenye misa ya kumbukumbu ya marehemu mama Mrs Aurelia Francis Nsolo iliyofanyika…

 

11 years ago

Michuzi

MISA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI

Familia ya Mwesigwa inapenda kuwataarifu kuwa kutakuwa na misa ya kumuaga mpendwa wao Mwesigwa Blandesi itakayofanyika siku ya Jumamosi May 31,2014 kuanzia saa Nane na nusu mchana mpaka saa kumi na moja na nusu jioni(2:30-5:30pm) katika Kanisa la "Resurrection Lutheran Church", 397 Euclid Avenue, Oakland California 94610.
Baada ya misa kutakuwa na mkusanyiko wa ndugu jamaa na marafiki wote kwenye ukumbi wa "Resurrection Lutheran Church"  katika kusheherekea maisha na kumbukumbu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Misa ya kumbukumbu ya Marehemu Michael Ndaskoi Mlingi .

Familia ya Geraldine Ngowi na Grace Mlingi wa Silver Spring, MD inapenda kuwashukuru wote kwa kushiriki kwa njia moja au nyingine kwenye misa ya kumbukumbu ya maisha ya Michael Ndaskoi Mlingi .Michael Mlingi alikuwa baba mzazi wa Grace Mlingi na tulimpoteza mwezi wa machi mwaka huu.misa hiyo ilifanyika Jumamosi May 16th 2015 katika kanisa la Saint Edward Roman Catholic Church 901 Poplar Grove St, Baltimore, Maryland 21216



ibada ikiendelea
Ndugu Kenneth Mshiu (binamu wa marehemu) akisoma...

 

10 years ago

GPL

MTITU AWALIPUA MASTAA MISA YA MAREHEMU RECHO

Na Hamida Hassan
Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu hivi karibuni aliwalipua wasanii wenzake na kusema kuwa inavyoonekana kwa Mungu hawapo kwani wamekuwa wakichenga kwenda kanisani na msikitini inapotokea kuna kisomo kwa ajili ya marehemu. Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu. Mtitu alizungumza hayo alipokuwa makaburini Kinondoni jijini Dar, kwenye misa ya mwaka mmoja ya marehemu Rachel Haule...

 

10 years ago

Vijimambo

Misa ya Shukurani Arubaini ya Marehemu Mzee Samuel N. Luangisa

MISA YA Shukurani Kutimiza siku Arubaini (40) ya MAREHEMU Mzee Samuel Mtabala LUANGISA- New York
Saturday August 8, 2015.

Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community, inawakaribisha kwenye MISA ya Shukurani au Arubaini ya Marehemu Mzee wetu, Baba yetu na Kiongozi wetu Mzee Samuel Ntambala Luangisa (83),

Siku: Saturday August 8th, 2015
Saa: 4pm
Address: Luangisa Residence: 374 Hawthorne Terrace, Mt. Vernon, NY 10552
Misa itaongozwa na Mchungaji Mama Butiku
Mpe taarifa mwenzako...

 

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KUMUAGA MAREHEMU METHOD MENGI YAFANYIKA HOUSTON, TX

Misa ya kumuaga ndugu yetu mpendwa marehemu Method Mengi aliyefariki wiki mbili zilizopita hapa Houston ilifanyika jana jumamosi katika kanisa Katoliki la St. Cyril of Alexandria na kuongozwa na Fr.Gerald Singu kutoka Virginia. Mwili wa marehemu unatarajiwa kuondoka mwanzoni mwa wiki kuelekea nyumbani Morogoro tayari kwa maziko. Pata taswira za Ibada hiyo : 

Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Method Mengi
Fr.Gerard Singu (katikati) kutoka Vurginia akiongoza misa
Mke wa marehemu Method (wa pili...

 

10 years ago

Vijimambo

MISA YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA KUFANYIKA JUMAMOSI MAY 30, 2015

MZEE SAMUEL NTAMBALA LUANGISA
Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community, inawakaribisha kwenye MISA ya kumuaga Marehemu Mzee wetu, Baba yetu na Kiongozi wetu Mzee Samuel Ntambala Luangisa (83), kabla ya kwenda Bukoba kwa mazishi Siku Jumamosi MAY 30th, 2015kuanzia Saa: 1pm - 5pm
Address: LEE'S Funeral Home L.L.C160 Fisher AvenueWhite Plains, NY 10606
Baada ya Misa sote tutajumuika nyumbani kwa Wafia The Luangisa Residence: 
374 Hawthorne Terrace, Mt. Vernon, NY 10552
Mpe...

 

10 years ago

Michuzi

MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA NEW YORK NCHINI MAREKANI

Mchungaji Butiku akiongoza misa ya shukurani na arubaini ya marehemu Mzee Samuel Luangisa iliyofanyika siku ya Jumamosi Aug 8, 2015 Mount Vernon, New York na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Marekani.Mrs Luangisa, mke wa marehemu akifuatilia misa.
Wanafamilia wakifuatilia misa.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani