Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitandao ya kompyuta inavyoharibu uwezo wa kumbukumbu

Watafiti, walimu na wanasaikolojia wanakiri kuwa utegemezi wa mitandao ya kijamii kama vile ‘Google’ hasa katika nyanja ya taaluma unasababisha udumavu wa kumbukumbu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO

Waziri wa Madini Dotto Biteko amelitaka shirika la maendeleo la taifa (NDC)kujipa muda wa kuvitambua vipaji na uwezo walionao waanzilishi mbalimbali wa viwanda na kuona wanawasaidiaje katika kukuza uwezo wao badala ya kukimbilia kuulizia vibali au leseni ya shughuli zao.

Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...

 

10 years ago

Vijimambo

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU.Jamaa ana kumbukumbu sana.Na nahisi hapo anamuangalia Lowassa na kukumbuka yote aliyowahi kusema juu yake.Kisha.......
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO

 

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wa kompyuta wakamilika

Jeshi la Polisi Zanzibar, limesema kazi ya kuchunguza kompyuta mpakato ya waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, (SMZ), Mansoor Yussuf Himid, aliyefunguliwa mashtaka matatu yakiwamo ya kukamatwa na silaha ya moto na risasi 407, imekamilika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,kompyuta zinatuelekeza wapi?

Akili ya kompyuta ni mojawapo ya maswala yanayowakuna vichwa watu duniani kote hivi sasa.Baadhi ya watu wanasema itawaokoa binaadamu hata kufanya tuishi milele.Wengine wanasema inaweza kutuangamiza sote.

 

10 years ago

Mwananchi

Njia za kuongeza kasi ya kompyuta- 1

Kompyuta nyingi zinaponunuliwa huwa na kasi kubwa, lakini baada ya muda kasi hiyo huanza kupungua.Kuna njia mbalimbali za kuongeza kasi ya kompyuta yako na vifaa vingine kama simu za mikono na Ipad .

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ijue kompyuta na kazi zake

KOMPYUTA ama Takirishi kwa kiswahili fasaha ni mashine au chombo cha kielektroniki chenye uwezo wa kupokea taarifa, kufanya hesabu, kushughulikia au kufanyia kazi na kutoa matokeo ya kazi hiyo na...

 

11 years ago

Habarileo

Tusiime kufundisha kwa kompyuta

SHIRIKA la Opportunity Education Foundation (OEF) la nchini Marekani, limeichagua Shule ya Sekondari Tusiime ya Tabata kuwa ya majaribio katika ufundishaji kwa njia ya kielektroniki mkoani Dar es Salaam na kuipatia kompyuta ndogo 100.

 

11 years ago

GPL

TEKNOLOJIA: KOMPYUTA ITUMIAYO LIQUID SYSTEM

Hizi ni kompyuta ambazo hutumia mfumo wa kimiminika maalum 'liquid system' katika kupunguza joto mbali na kuwa na feni pamoja na 'heat sink' kama zilivyo kompyuta zote. Kompyuta hizi mara nyingi ni kwa ajili ya michezo mbalimbali 'games'.
(Na…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani