Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitandao ya kulipizia kisasi Uganda

Inaitwa kulipiza kisasi kwa kutumia picha za utupu, kuchapisha picha za mtu binafsi za utupu bila yeye kujua, limekuwa jambo la kawaida nchini Uganda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Vijimambo

MISS UGANDA AMEKERWA KWA COMMENT MBAYA KWENYE MITANDAO

Leah Kalanguka (kati kati) ndiye mshindi was Miss Unganda 2014  Leah amesema kuwa, Urembo si namna ya muonekano wa nje bali ni kilicho ndani ya mtu na kile anachoweza kuonesha dunia, huku akikazia kuwa yupo tayari kuiwakilisha nchi yake katika mashindano ya Miss World mwezi Desemba mwaka huu.

Kufuatia mrembo huyu kukosolewa sana mtandaoni, watu maarufu pia kama Bobi Wine na Anne Kansiime wamemtetea mrembo huyu na kutaka watu kuacha kumkosoa mrembo huyu bila kufahamu ni kwa namna gani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza: Nitalipiza Kisasi

Rais Pierre Nkurunziza aliahidi kulipiza kisasi dhidi ya ''yeyote aliyejaribu kuwasha moto wa uhasama baina ya waburundi''

 

10 years ago

GPL

NGAO YA JAMII NI KISASI TU

URUDANI nyingine itakuwepo leo Jumamosi jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambapo Yanga itacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC kukaribisha msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2015/16. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1NLO9Ng

 

10 years ago

Habarileo

Azam, KCCA ni kisasi

AZAM leo itakuwa uwanjani kumenyana na KCCA ya Uganda katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yalipiza kisasi Liverpool

Arsenal iliilazaLiverpool mabao mawili kwa moja na kufuzu kushiriki katika robo fainali ya mchuano wa FA.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aua mgambo kulipiza kisasi

JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikilia Elias Balandese na Faustine Fidel kwa tuhuma za mauaji ya askari mgambo, Shabani Mbadi mkazi wa Kijiji cha Nyamidaho wilayani Kasulu kwa kumchoma na...

 

11 years ago

BBCSwahili

'Nilimtafuna binadamu kulipiza kisasi'

Alitaka kulipiza kisasi na hivyo kumtafuna binadamu mwenzake kutokana na uchungu alokuwa anahisi. Alitendewa nini?

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga kisasi, Simba ubabe

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

HOMA ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda kwa timu zote kuingia mafichoni, lakini kitakachojiri kwenye mchezo huo ni ama Yanga kufuta uteja au Simba kuendeleza ubabe dhidi ya Wanajangwani hao katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii.

Katika kujiandaa na mechi hiyo, timu zote zimekimbilia visiwani Zanzibar, Yanga ikiwa Pemba tokea Jumapili iliyopita na Simba ilirejea juzi Unguja kwenye kambi ya awali kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...

 

11 years ago

Habarileo

‘Wakulima Igunga msilipize kisasi’

SERIKALI wilayani Igunga Mkoani Tabora imewataka wakulima wilayani humo, kutolipiza kisasi cha mauaji kwa wafugaji waishio wilayani Kishapu mkoani Shinyanga ili vyombo vya dola vifanye kazi yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani