Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nkurunziza: Nitalipiza Kisasi

Rais Pierre Nkurunziza aliahidi kulipiza kisasi dhidi ya ''yeyote aliyejaribu kuwasha moto wa uhasama baina ya waburundi''

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?

Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.

 

10 years ago

GPL

NGAO YA JAMII NI KISASI TU

URUDANI nyingine itakuwepo leo Jumamosi jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambapo Yanga itacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC kukaribisha msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2015/16. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1NLO9Ng

 

10 years ago

Habarileo

Azam, KCCA ni kisasi

AZAM leo itakuwa uwanjani kumenyana na KCCA ya Uganda katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wakulima Igunga msilipize kisasi’

SERIKALI wilayani Igunga Mkoani Tabora imewataka wakulima wilayani humo, kutolipiza kisasi cha mauaji kwa wafugaji waishio wilayani Kishapu mkoani Shinyanga ili vyombo vya dola vifanye kazi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mitandao ya kulipizia kisasi Uganda

Inaitwa kulipiza kisasi kwa kutumia picha za utupu, kuchapisha picha za mtu binafsi za utupu bila yeye kujua, limekuwa jambo la kawaida nchini Uganda

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aua mgambo kulipiza kisasi

JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikilia Elias Balandese na Faustine Fidel kwa tuhuma za mauaji ya askari mgambo, Shabani Mbadi mkazi wa Kijiji cha Nyamidaho wilayani Kasulu kwa kumchoma na...

 

10 years ago

StarTV

Magufuli aombwa kutolipiza kisasi

Baadhi ya Vijana wa Manispaa ya Songea wamemwomba Rais Mteule Dokta John Magufuli kutofuata itikadi za vyama au kulipiza kisasi bali afuate kanuni, taratibu na sheria katika kuwaletea Watanzania maendeleo.

Vijana hao wamesema Dokta Magufuli ndiye aliyeteuliwa na Mwenyezi Mungu hivyo vyama vyote havina budi kuacha malumbano bali sasa vimuunge mkono katika kufanya kazi.

Vijana hao wakiongozwa na Kijana Makunde Richad  na Diwani wa Tanga kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo  CHADEMA Mussa...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam, Yanga vita ya kisasi

‘Leo ndiyo leo, asiye na mwana aelekee jiwe’, mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC watakuwa na kibarua kizito mbele ya Yanga ya Marcio Maximo katika mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga kisasi, Simba ubabe

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

HOMA ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda kwa timu zote kuingia mafichoni, lakini kitakachojiri kwenye mchezo huo ni ama Yanga kufuta uteja au Simba kuendeleza ubabe dhidi ya Wanajangwani hao katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii.

Katika kujiandaa na mechi hiyo, timu zote zimekimbilia visiwani Zanzibar, Yanga ikiwa Pemba tokea Jumapili iliyopita na Simba ilirejea juzi Unguja kwenye kambi ya awali kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani