Mkazi wa Kondoa akabithiwa Toyota IST na Washindi saba wa Airtel yatosha watangazwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZKzPzyXNN4E/VPQXw4aKZGI/AAAAAAAHG7A/fEdU84pmZS4/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imemkabidhi gari aina ya Toyata IST kwa Bwana Juma Said Alli mkazi wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma mara baada ya kuiba mshindi katika droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel yatosha zaidi. Zawadi hiyo yenye thamani ya Shilingi Milioni 15 ilikabidhiwa kwa Alli mwishoni mwa wiki na Meneja wa Airtel Kanda ya Kati, Stephen Akyoo. Akizungumza mbele ya vyombo vya habari wakati akikabidhiwa gari hiyo aina ya IST, yenye namba za usajili T778 DCZ, Alli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eOu8TS9yTyU/VQk82-Z2kzI/AAAAAAAHLN0/51rBV_wrtkI/s72-c/PIC%2B2.jpg)
WATEJA WA AIRTEL WAENDELEA KUNUFAIKA NA TOYOTA IST ZA YATOSHA ZAIDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eOu8TS9yTyU/VQk82-Z2kzI/AAAAAAAHLN0/51rBV_wrtkI/s1600/PIC%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CXsgPQl2FHA/VQk897ZAu5I/AAAAAAAHLN8/BUhnDyDOIhE/s1600/PIC%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rh7DNKryBzw/VOhA8agUBaI/AAAAAAAHE5E/EglDLXGHMqw/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oLyq8o2uaNk/VQpWNCB3_aI/AAAAAAAHLYQ/89fODLVo_DA/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Airtel yakabadhi wakaazi wawili wa Mkoa wa Manyara magari aina ya Toyota IST
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
BE FORWARD yakabidhi gari Toyota IST kwa mshindi jijini Arusha katika Promosheni ya Jishindie IST
Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake, Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la Tanzania
Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12
Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJ6dVVgy*GUDelfnLEUnCS0Dk-thDFWC0F5zps4Di7fi09i39DqW5BJlnqM-mef8ZDBtN8SmE*0d3fuygIu*F1T/IMG_6234.jpg?width=750)
WASHINDI AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI
9 years ago
Michuzi07 Dec
KAMPUNI YA BE FORWARD YAKABIDHI GARI AINA YA TOYOTA IST KWA MSHINDI JIJINI ARUSHA KATIKA PROMOSHENI YA JISHINDIE IST
![DSC00871](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00871.jpg?w=627)
![DSC00877](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00877.jpg?w=627)
![DSC00875](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00875.jpg?w=627)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3LtMdW5uPMw/VO7HsIeGexI/AAAAAAAHF9w/qHDWwnGaT8E/s72-c/1.jpg)
Washindi wa Promesheni ya Airtel yatosha Zaidi wakabithiwa magari yao
![](http://4.bp.blogspot.com/-3LtMdW5uPMw/VO7HsIeGexI/AAAAAAAHF9w/qHDWwnGaT8E/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ioB-xKF-nes/VO7H3ugMHBI/AAAAAAAHF-Q/dEsLYfD9CDo/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mu_zDW4rHN0/VSYvG327x9I/AAAAAAAHPuo/gY0c8uvBTHA/s72-c/1.jpg)
WASHINDI WA DROO YA MWISHO YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI YAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mu_zDW4rHN0/VSYvG327x9I/AAAAAAAHPuo/gY0c8uvBTHA/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TivceCWwZLo/VSYvG6goJNI/AAAAAAAHPu4/ttWhOSDfyB4/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPLMCHUUZI WA SOKO JIPYA LA KAWE AIBUKA NA TOYOTA IST