Mkwakwani ni kielektroni tu
>Uongozi wa Uwanja wa CCM Mkwakwani, Tanga umesema utaendelea na utaratibu wa mfumo wa tiketi za kielektroniki na kuwataka mashabiki wanaotaka kuziona Coastal Union na Yanga leo kuwahi kwenye vituo vyenye mashine hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Mkwakwani yaitesa Simba
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Ni uchawi wa Uturuki, Oman Mkwakwani
WAKATI mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), Yanga, wakitarajiwa kushuka kwenye dimba la Mkwakwani jijini Tanga kuwavaa wenyeji Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ leo, Shirikisho la Soka Tanzania...
9 years ago
StarTV02 Nov
Mabomu ya machozi yatawala dimba la Mkwakwani.
Hali ya taharuki imeibuka kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wakati wa mchezo kati ya Coastal Union ya jijini Tanga na Mbeya City.
Mashabiki wa Cost unioni walifikia uamuzi huo baada ya kudai kuwa mwamuzi ndiye aliyewasababishia penalt hiyo kwa sababu zake binafsi.
Taharuki ilianza baada ya mbea City kupata goli moja dakika ya tisini kupitia kwa mchezaji wake Raphael Alpha.
Baada yua matokeo hayo,washabiki cost union wakaanza kurusha mawe uwanjani huku wakitaka kuvunja milango ya kuingilia...
10 years ago
Vijimambo![](https://1.bp.blogspot.com/-sU77cMO-6Zo/VR-J2BlFGSI/AAAAAAAADp0/MX5i76j68gY/s72-c/MWAZOA.jpg)
NGUMI KUFANYIKA MKWAKWANI TANGA MEI 2
![](https://1.bp.blogspot.com/-sU77cMO-6Zo/VR-J2BlFGSI/AAAAAAAADp0/MX5i76j68gY/s400/MWAZOA.jpg)
Bondia Alen Kamote wa Tanga atapanda uringoni mei 2 katika uwanja wa mkwakwani tanga kukabiliana na Emilio Norfat katika mpambano wa raundi 12 mbali na mpambano uho siku hiyo pia kutakuwa na mapambano mengine makala moja ya mpambano wenye mvuto zaidi ni kati ya bondia mwenye makazi yake mkoa wa Morogoro Cosmas Cheka atakaekabiliana na Said Mundi kutoa mkoa wa tanga
promota wa mpambano uho Ally Mwazoa aliongeza kwa kusema mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano mengine...
10 years ago
Michuzi06 Oct
NGUMI ZILIVYOPIGWA SIKUKUU YA IDI MKWAKWANI TANGA
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Coastal, Polisi Morogoro vitani kesho Mkwakwani
KLABU ya Coastal Union ya hapa, kesho imepanga kufanya utambulisho wa nyota wake kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania bara itakayoanza Septemba 20. Utambulisho huo unaofahamika kama ‘Coastal...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tcHJ6333pCU/Xm29BNh4ahI/AAAAAAAAgG4/3iPJOVceQO0_KvtX068cUTXqcWtCCxKMwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200314_105237.jpg)
FAINALI YA MASHINDANO YA REDE KUPIGWA LEO MKWAKWANI TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tcHJ6333pCU/Xm29BNh4ahI/AAAAAAAAgG4/3iPJOVceQO0_KvtX068cUTXqcWtCCxKMwCLcBGAsYHQ/s640/20200314_105237.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Brothers Intertaiment Nasoro Makau ambao ndio waandaaji wa Mashindano ya Rede Jijini Tanga akizungumza na waandishi wa habari kuelekea Fainali ya Mashindano hayo kushoto ni
Mratibu wa Mashindano hayo Zaituni Mango kulia ni Msimamizi wa Waamuzi Magdalena Liwemba
![](https://1.bp.blogspot.com/-XQoxevQPDRk/Xm29ITOsJzI/AAAAAAAAgG8/TS5B0YZ66zo9T7VVEvcDDojlvu2r4_vswCLcBGAsYHQ/s640/20200314_110702.jpg)
Mratibu wa Mashindano hayo Zaituni Mango akisisitiza jambo kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Brothers Intertaiment Nasoro Makau ambao ndio waandaaji wa Mashindano ya Rede Jijini Tanga na Msimamizi...
10 years ago
MichuziMABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-XFePXIEXH4g/Ur8PM8zr9nI/AAAAAAACYEk/fBAJFZaNf4A/s640/IMG_8404.jpg)
ROSE MUHANDO AWAKUNA WAKAZI WA TANGA UWANJA WA MKWAKWANI LEO