MLELA: SILI ‘UNGA’, UMRI UMENIBADILISHA
![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoZar8y68pTC-FLrOMZ4FRMua5Pyyc5g0kmr*N1G1x*S9hRWRSQfOStoTqwZvydRISBhtOJeOYBUgQgZiRtzlmer/mlela.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MSANII anayefanya vizuri katika filamu Bongo, Yusuf Mlela ambaye amekuwa akidaiwa kutumia madawa ya kulevya maarufu kama unga, amesema utofauti wa muonekano wake kwa sasa siyo kwa sababu ya uteja, bali inatokana na umri wake kusogea. Msanii wa filamu Bongo, Yusuf Mlela. “Unajua mtu unavyozidi kukua na muonekano nao unabadilika, lakini itafikia kipindi nitakuwa sawa tu hivyo naomba mashabiki wangu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFU6WhU*m82UmoRpbcgVrAVe1xeytjxAQo0pfdJwGLmtony9EdlyoVGAoG307BbWMFEeIzVKthsLf4O5LowhwygJ/mlelajpg.jpg?width=650)
MLELA KUOA MWANAMKE ALIYEMZIDI UMRI
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Sili asababisha foleni ndefu Marekani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LSaKc9nqwAA/XkvqYj07dUI/AAAAAAALd78/UYTBy4qyk6span5jXkzREJ2LbQkH56s4wCLcBGAsYHQ/s72-c/81107546_1040861996297120_446094420118901832_n.jpg)
PESA ZA BSS BADO, SILI BATA - MESHACK
![](https://1.bp.blogspot.com/-LSaKc9nqwAA/XkvqYj07dUI/AAAAAAALd78/UYTBy4qyk6span5jXkzREJ2LbQkH56s4wCLcBGAsYHQ/s640/81107546_1040861996297120_446094420118901832_n.jpg)
Na Khadija Seif, Michuzi Tv
MSHINDI wa BSS mwaka 2019, Meshack Fukuta amesema kuwa akipata hela zake za ushindi ambazo ni shilingi Milioni 20 atazitumia kwa ajili ya muziki wake na sio kula bata kama watu ambavyo wamezoea.
Akizungumza na Michuzi Tv amesema kuwa hela ambazo anazitegemea kuzipata hivi karibu sio ndogo wala sio nyingi ila asipo tuliza akili anaweza kuja kujikuta amezitumia bila ya kutimiza malengo yake.
“Sijapata hela bado na ni lazima nijipange ili nisije kuchanganyikiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTYIRj17r-pkgs69p3EYzIukSbbgFRM8yVcYLoe42uTujiS*WsMCQ14Kzk3vZuUne7ccW0Lb46MBb6XNCpUywQ-/unga.jpg?width=750)
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Umri ni amri? Mmmh jamani, suala la umri lachekesha
9 years ago
Bongo Movies16 Aug
Mlela na ‘Kicheche’
Yusuph Mlela ametoa filamu ya ‘Kicheche’ ili kudhihirisha ubora wake katika uongozaji na uigizaji amesema.
Aidha, Mlela ambaye alikuwa akitumika kucheza kazi za wasanii wengine tangu kuingia katika tasnia hiyo, alisema ameamua kufanya kazi zake ili kuongeza kipato.
“Siku zote ukifanya kazi za watu itafikia mahali utakuwa huoni faida. Bora nifanye kazi zangu mwenyewe’,” alisema.
“Sipo tayari kuona wenzangu wanamiliki kampuni wakati na mimi nina uwezo wa kufanya hivyo.”
Chanzo:...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxabn0rUAW7aEaWDXztYqW9kvHqALw2w89CLwT0--bQ4bYIbck6xj8LZNvVOQBDt8PsRSkUi*HE1aKwZALSbM183/mlela.jpg?width=650)
MAPENZI YAMTESA MLELA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGXxsS4B3jVoPnLymwPQrZD7PzN3CqYSIjMs-sfcAfoox4YmimbJJxA6nmCjx-VqkKVzPoS7dOAqUUyodT6Rp4U/mlela.jpg?width=650)
MLELA: ULEZI UMENIFICHA
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Yusuph Mlela: Nikikupikia biriyani…
YUSUPH Mlela ni msanii maarufu wa filamu nchini aliyeweza kujijengea jina kutokana na kumudu kazi yake kwa kuigiza sehemu tofauti bila kujali uhusika anaouvaa.
Ni miongoni mwa wasanii wachache ambao wameweza kutunza heshima yao tofauti na wasanii wengine wanaotafuta umaarufu kwa kufanya mambo yanayokwenda kinyume na maadili.
Raia Tanzania imezungumza na Mlela ili kujua mambo mbalimbali ya maisha yake awapo nje ya sanaa kama ifuatavyo:
Raia Tanzania: Ukimzungumzia mlela...