Mlele waringia kutimiza agizo la maabara
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiri kupatiwa majibu juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za kata nchini, Wilaya ya Mlele mkoani Katavi imebainisha kutekeleza agizo hilo kwa kiwango cha juu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Dec
Dar yatekeleza agizo la maabara za JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiria kupatiwa majibu juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari, kwa mujibu wa agizo lake kwa kila halmashauri za wilaya na manispaa nchini, manispaa za Dar es Salaam zimebainisha kuwa zinaendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa agizo hilo.
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Mbatia akosoa agizo ujenzi maabara
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
Agizo la kukabidhi vyumba vya maabara kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida bado kutekelezwa
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari kata ya Ikungi wilayani Ikungi mkoa wa Singida,wakishiriki ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara jana kama walivyokutwa na mpiga picha wetu. Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, aliagiza akabidhiwe vyumba vitatu vya maabara kwa kila shule ya sekondari 153 za kata za mkoa huo kabla ya oktoba 15 mwaka huu.Mambo yamekuwa tofauti kwa shule ya sekondari ya kata ya Ikungi ambayo hadi sasa bado ujenzi upo ngazi ya msingi.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WR_yoC4qSBU/VJ1pNdYO--I/AAAAAAAG56s/zOSYtGsKlUU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
PINDA AZUNGUMZA NA VIJANA WA MLELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WR_yoC4qSBU/VJ1pNdYO--I/AAAAAAAG56s/zOSYtGsKlUU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Pinda akutana na wananchi wa Mlele
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akifafanua jambo kwa kutumia kompyuta ndogo (Ipad) wakati alipozungumza na wanafamilia wa Mzee Katinda wa kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele akiwa katika mapumziko mafupi nyumbani kwake Kibaoni, Katavi julai 22, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
Mke wa Waziri Mama Tunu Pinda akiwaonyesha picha mbalimbali alizopiga vijana wa kabila la Kisukuma aliokutana nao nyumbani kwa Mzee Katinda katika kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele ambako yeye na Waziri...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKIWA WILAYANI MLELE
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l9I43e1UOWM/Xp190ar0HoI/AAAAAAALneA/h5m2hDEElagVotkgO2vl1KFATyGsAzk4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200416_124013_344.jpg)
MLELE YATANGAZA UTARATIBU WA KUNUNUA MAZAO
Katavi
WILAYA ya Mlele mkoani Katavi yenye Halmashauri mbili za wilaya, imetenga vituo 80 vya kununulia mazao mbalimbali katika msimu wa 2020 huku wilaya hiyo ikiwa ni mara ya kwanza kuingia katika mfumo rasmi wa stakabadhi gharani.
Kati ya hivyo,Halmashauri ya Mpimbwe imetenga vituo 49 na Halmashauri ya wilaya Mlele imetenga vituo 31 huku wafanya biashara wakionywa kujiepusha kununua mazao kwa kutumia vipimo haramu.
Mkuu wa wilaya hiyo Rachel Kassanda amesema...
11 years ago
Daily News05 May
Mlele accident claims Catholic priest, passenger
Daily News
FATHER Martin Kapufi of the Roman Catholic Church in Mpanda Diocese was among two people who died on the spot after the vehicle they were travelling in veered off the road and overturned at Kamsisi Village along the Inyonga- Tabora highway.