Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnaanza kugeukana sasa, kufika 2015 kila mtu na ubao wake

RAIS wangu hizi ni siku za mwisho. Ishara za bora mashua ipasuke tugawane mbao zinaanza kuonekana sasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Na hivi ndivyo itakavyokuwa ndani ya serikali. Waliokuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HAPO SASA MPAKA KIELEWEKE NGOMA UWANJANI KILA MTU NA KAULI MBIU YAKE KICHWANI

Mbio za urais 2015 kama kujiandikisha elimu ya shule ya msingi vile safari hii, ni kwanini imekuwa hivi unafikiri hawa wote wana uchungu na nchi yao au ni kwa ajili ya maslahi binafsi ndani ya viunga vywa Ikulu.

 

10 years ago

Bongo5

Bob Junior atoa sababu ya nyimbo zake za sasa kushindwa kufika mbali

Msanii wa muziki na producer wa Sharobaro Records, Bob Junior amefunguka na kutoa sababu ya kwanini nyimbo zake nyingi za sasa kutokuwa na uhai mrefu kama za mwanzo. Bob Junior Bob Junior aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Oyoyo’ ameiambia Bongo5 kuwa, muziki wake kwa sasa hivi unaharibiwa na mitandao ya kijamii. “Nyimbo nyingi hazi-play sana […]

 

11 years ago

Mwananchi

Huduma za simu kufika vijijini 2015

Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imesema ifikapo mwishoni mwa mwaka 2015 vijiji vyote nchini vitakuwa vimeunganishwa na huduma ya mawasiliano ya simu za mikononi.

 

9 years ago

MillardAyo

RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake

Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]

The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Mkuya akwepa gari lake kufika bungeni

>Ilikuwa ni saa 9:51 alasiri wakati gari alilokuwamo Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum liliposimama sambamba na lango kuu la kuingia katika Ukumbi wa Bunge na baada ya dakika moja hivi, aliteremka akiwa ameshika mkoba wenye Bajeti ya Serikali ya 2014/15.

 

10 years ago

Habarileo

‘Jukumu la kulea yatima ni la kila mtu’

JUKUMU la malezi ya watoto yatima na waishio katika mazingira magumu nchini linapaswa kutekelezwa na kila Mtanzania pamoja na taasisi mbalimbali nchini ili kupunguza wimbi la wananchi tegemezi.

 

9 years ago

Michuzi

JE KILA UNACHOKUBALIANA NA MTU NI MKATABA KISHERIA ?

Na  Bashir  Yakub

Makubaliano  ni  sehemu  ya  maisha  yetu  ya  kila  siku.  Shughuli  zetu  za  kila siku  hutegemea  makubaliano.   Ukimkuta  mtu  anabeba  zege  kwa  ajili  ya  ujenzi  yupo  katika  makubaliano. Ukimkuta  mtu  anaendesha  daladala, bodaboda   yupo  katika  makubaliano. 

Ukimkuta  mtu  katika  ofisi  yoyote  ya  umma  yupo katika  makubaliano,walio kwenye  ndoa  na  uchumba nao  ni  makubaliano,  mfanyakazi  wa  ndani  yupo katika  makubaliano.  Aliyechukua  mkopo, ...

 

5 years ago

CCM Blog

KUANZIA JUMATATU KILA MTU AVAE MASK

  Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda ameagiza kuwa mtu yeyote anayeenda katika eneo lolote la manunuzi lazima awe amevaa Barakoa (mask)

Amesema haijalishi ila lazima watu wavae Barakoa “Ununue, ukate kanga, ukate leso na utafute rubber bands. Lazima uwe umevaa Barakoa”

Aidha, ameagiza kuwa kuanzia Jumatatu biashara zote zifanyike kwa mfumo wa ‘take away’ yaani ufike sehemu ya kununua bidhaa, nunua na ondoka

Pia, amewataka watu kuhakikisha wanakaa umbali wa mita 2 kila wakiwa eneo la msongamano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani