MONALISA ATAMANI KUOLEWA JUA LIMEKUCHWA
![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7vkWgWHM5KC6X7nevuq9rk3J1AUXmpOfyxzsH7zLCyZJiT7O5HqNYwdkEXOPY6HcqRm3xr8xTH2gXofUBmpKzXR/Monalisa.jpg)
Stori: Hamida Hassan Staa wa Filamu za Kibongo, Yvonne Sherry ‘Monalisa’ hivi karibuni aliweka wazi kuwa anatamani kuolewa lakini hajampata wa kumuoa.Monalisa alifunguka maneno hayo baada ya uvumi kuenea kuwa amepata mtu anataka kumuoa na mipango ya ndoa iko tayari.  Staa wa Filamu za Kibongo, Yvonne Sherry ‘Monalisa’. “Mh! Wewe si wa kwanza kuniambia maneno haya jamani hivi yanatoka wapi?...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jLAUjwV2sT3o-5jh3KO83cB*-LTCFueil8jywmI5jpCLY0n9l1Zr5ABiCuo3X7KGMj*LOwqaG6X*vTOVC7AoL8X/Tiko.jpg)
TIKO ATAMANI KUOLEWA NA BABU MWARABU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZbU7afPnaG4t12G-qjcGayCeOBsixNEqQj1tOx6nStnvEFK9Lj-MIyOMCqEB-wGgxOik00Zwbmigvn1BARlFZ-z/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND ATAMANI USHOGA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZeJXxZIhiVyQb*grZjTC*jzu-VALw0e5-smbnNXBY3Ezl82Vyc70yk4K8PPFaIpFRdhuq-sjDb36-PL258hEynj/ANTI.jpg)
AUNTY ATAMANI KUZAA
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mwakyembe atamani benki ya bodaboda
Baadhi ya madereva wa boda boda mkoa wa Singida, wakiwa kwenye maandamano ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya boda boda kitaifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya Peoples klabu mjini hapa.Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo, Dk.Harrison Mwakyembe,ameagiza SUMATRA kuandaa mikakati itakayosaidia kuanzishwa kwa benki ya boda boda nchini,itakayosaidia wafanyabiashara hao kupata mikopo kwa ajili ya kuboresha uchumi wao.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAZIRI wa uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe,...
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Baby Madaha atamani mtoto
NA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI na msanii wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha, amesema anatamani kuitwa mama kama ilivyo kwa wanawake wengine wenye watoto. Akizungumza na MTANZANIA jana, Baby Madaha, alisema amepanga kufanikisha ndoto zake za kuwa mama mwaka huu. “Kiukweli natamani sana kupata mtoto, nafarijika nikisikia na kuona wenzangu wanaitwa mama, ni jambo la busara na kumuomba Mungu ili litimie,” alisema Baby Madaha. Madaha alisema wasanii wengi wamefululiza kuzaa jambo...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Shilole atamani ubunge 2015
STAA wa muziki wa mduara anayefanya vizuri, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesema anatarajia kugombea ubunge katika jimbo analotoka la Igunga mkoani Tabora katika uchaguzi wa mwaka 2015. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
Mtanzania30 May
Pinda atamani sheria ya wosia
Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuna haja ya kuwa na sheria itakayowezesha uandikishaji wosia kuwa wa lazima ili kuondokana na migogoro ya kugombania mali za marehemu na unyanyasaji wa wajane na watoto.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, katika maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na uzinduzi wa kampeni ya uandishi wa wosia.
Alisema migogoro hiyo kwa kiasi kikubwa inaathiri wanawake na watoto pindi wazazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOI*DRuNlM0NAsGr5-9nZEkKX7x9M*hqYFceFIyYrk5fhM3*bwLsKZLPzLvomwDKovlHt6qeL*1GGWcgza4ALjmb/pendo.jpg?width=650)
PENDO WA MAISHA PLUS ATAMANI NDOA!