Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPIGANAJI TILATA WA STAR TV KAZINI

 Hakuna kazi rahisi,na kila kazi inahitaji kujituma,ubunifu na umakini wa kutosha ili kupata kilicho bora.Pichani ni Mwandishi mtayarishaji,Mtangazaji na mpiga picha mahiri  wa kituo cha televisheni cha Star TV,chenye makao yake makuu jijini Mwanza,Mpiganaji Abdallah Tilata akirekodi juu na chini matukio ya mapokezi ya mgombea Ubunge wa CCM,Ndugu Godfrey Mgimwa katika Jimbo la Kalenga, alipokuwa akiwasili kata ya Kalenga-Iringa vijijini mapema leo jioni kwa ajili ya kufanya mkutano wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Express.Co.Uk

Star Betelgeuse supernova: ESO reveals changing surface of strange star

Star Betelgeuse supernova: ESO reveals changing surface of strange star  Express.co.uk“All’s Quiet on Betelgeuse” –Prelude to a Realtime Supernova?  The Daily Galaxy --Great Discoveries ChannelVery Large Telescope Captures Unprecedented Dimming of Betelgeuse  SciTechDailyThe Further Adventures of Betelgeuse, the Fainting Star  The New York TimesWhen Betelgeuse goes supernova, what will it look like from Earth?  Astronomy MagazineView Full coverage on Google...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mpiganaji wa IS raia wa Uingereza auawa.

Marekani imesema mpiganaji wa Kiingereza, ambaye alijiunga na kundi la Islamic State ameuawa katika shambulio la anga nchini Syria

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab

Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.

 

11 years ago

Michuzi

Buriani mpiganaji mwenzetu Max...

Maximilian John Ngube a.k.a.  'Max'  Na Muhidin Issa Michuzi Mkiwa katika kazi na kukuta kule kusukumana na hata kupigana makumbo na makelele hakujaanza, basi ujue hajafika bado.

Ila mara tu yeye akishatia mguu wake kwenye sehemu ya tukio ambayo wanahabari wapigapicha mmejipanga baada ya  kukubaliana wapi pa kusimama, lazima zogo liumuke.  Maana yeye ile  akifika tu hapo mahali (aghalabu alichelewa kufika kutokana na daima kuwa na kazi nyingi sehemu zingine kwa wakati mmoja) aidha...

 

10 years ago

BBCSwahili

FBI yamtambua mpiganaji wa jihad

Shirika la upelelezi,FBI limesema limemtambua aliyeshiriki mauaji ya wanahabari na mfanyakazi wa shirika la misaada

 

10 years ago

Michuzi

BURIANI MPIGANAJI SAMUEL CHAMLOMO

Tasnia ya Habari nchini Tanzania imepata pigo kufutia kifo cha Mwanahabari wa TBC kanda ya Kati Dodoma, Samuel Chamlomo (pichani) aliyefariki baada ya kuugua ghafla wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi Bungeni mjini Dodoma jana. 
Chamlomo alifariki muda mfupi baada ya kuugua ghafla akiwa kazini.
Timu nzima ya Globu ya Jamii inaungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Wafanyakazi wote wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kumpoteza ndugu...

 

10 years ago

Michuzi

mpiganaji Edson Kamukara afariki dunia


Mhariri  wa Mwana Halisi Online, Edson Kamukara (pichani), amefariki Dunia kwa ajali ya moto nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam leo hii majira ya saa moja kasorobo jioni, baada ya kulipukiwa na jiko la gesi, habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Polisi wameuchukua mwili wa marehemu na kwenda kuhifadhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi wa kifo chake.


Ofisa Uhusiano wa NMB, Viccent Mnyanyika akimkabidhi zawadi marehemu Edson Kamukara wakati wa uhai wake...

 

11 years ago

Michuzi

MPIGANAJI MAXIMILIAN NGUBE AFARIKI DUNIA

MPIGA PICHA MKONGWE WA PICHA ZA TELEVISHENI,MAXIMILIAN NGUBE (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI BAADA YA KUSUMBULIWA KWA MARADHI KWA MUDA MREFU.
MAREHEMU MAXIMILIAN AMBAYE ALIFAHAMIKA SANA KWA JINA LA PAPAA MAX,ALIKUWA NI MPIGA PICHA HODARI WA KITUO CHA TELEVISHENI CHA MLIMANI TV.
GLOBU YA JAMII IMEPOKEA TAARIFA ZA MSIBA HUU KWA MASIKITIKO MAKUBWA SANA NA TUNAMUOMBEA KWA MWENYEZIMUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAXIMILIAN NGUBE MAHALI PEMA PEPONI.
-AMIN.

 

10 years ago

Michuzi

safari ya mwisho ya Mpiganaji Bernard Rwebangira


Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Bernard Rwebangira likiwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba yake ya milele kwenye Makaburi ya Kawe,Jijini Dar es salaam leo.Marehemu Bernard Rwebangira aliwahi kuwa Mpiga picha wa Kampuni ya TSN wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Sunday News pamoja na Habari leo.Mungu aiweke roho ya Marehemu mahapa pema Peponi, Amin.
Sehemu ya Ndugu wa Marehemu Bernard Rwebangira wakiwa ni wenye huzuni kubwa kuondokewa na Mpendwa wao, wakati wa Ibada ya kuaga mwili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani