Mr Blue autaja na kuuelezea wimbo aliurekodi na Sugu
Mr Blue amemshirikisha mbunge wa Mbeya Mjini, Sugu kwenye wimbo wake mpya, Freedom. Mr Blue ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo unawaamsha watu mbalimbali wameliokosa uhuru wao. “Huu wimbo umetokea tu, idea imekuja tu,” amesema. “Marco Chali alikuwa na hii beat tangu mwaka 2013 na hiyo idea ya freedom ilikuwepo tu. Chorus ilikuwa imeshapigwa, sasa labda […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Dec
Barack Obama autaja wimbo wa Hip Hop uliomdatisha zaidi mwaka 2015
Watu wengi huwa wanahamu ya kufahamu viongozi wao wa nchi wanapendelea kusikiliza muziki wa aina gani na wanawapenda wasanii gani kwenye upande wao wa maisha ya kawaida.
Mfano kwa Rais wetu Magufuli unahisi anaweza kuwa anapenda kumskiliza msanii gani wa Bongo? Ni kitu ambacho wengi wangependa kufahamu.
Upande wa Rais wa Marekani, Barack Obama ameweka wazi wimbo alioupenda zaidi kwa mwaka 2015 kupitia mahojiano na People Magazine, kuwa ni ‘How Much A Dollar Cost’ ya rapa Kendrick...
10 years ago
GPLDIAMOND WIMBO WAKE WA KWANZA ALIUREKODI KWA FEDHA ZA KUMTAPELI PETE MAMA YAKE
10 years ago
Bongo520 Nov
Dully Sykes asema wimbo wake wa matusi aliurekodi 2008 akiwa na ‘foolish age’, aomba usichezwe redioni
9 years ago
Bongo501 Oct
Music: Mr Blue Ft. Mr Two (Sugu) — Freedom
10 years ago
VijimamboDiamond akimtaja Zari kwenye wimbo wa Mr Blue 'Pesa'
11 years ago
Michuzi27 Feb
Video: Mr. Blue, Dyna, Barnaba Boy na Amini warekodi wimbo wa kampeni ya dereva makini 2014
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Barnaba Boy na Dyna Nyange wameshiriki kurekodi wimbo wao utakaotumika kwenye kampeni ya dereva makini inayolenga kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri.
Wimbo huo umerekodiwa na...
10 years ago
VijimamboALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”“Yaani inauma sana mtu ambaye ulikuwa unamuona...
9 years ago
Bongo516 Sep
Nahreel azungumzia madai ya wimbo wa Game kufanana na wimbo wa Patoranking ‘Girlie O’