Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MRADI WA ADHABU YA "VIBOKO AROBAINI TOA KIMOJA" KUPAMBANA NA ULEVI ARUMERU

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Oxfam yatangaza Mradi kupambana na Ebola

Shirika la misaada Oxfam lasisitiza msaada wa mamilioni ya dola kusaidia nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na Ebola

 

9 years ago

Michuzi

Shukrani na Taarifa ya Arobaini

Familia ya marehemu Mwalimu Ngore N. Kondo wa Chang’ombe, DSM tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki walioshirikiana nasi kwa kutufariji kwa hali na mali katika kumuuguza mpaka kumzika baba yetu mpendwa aliyefariki tarehe 28 Nov katika hospitali ya Regency na kuzikwa tarehe 29 Nov 2015 Chamazi, DSM.
  Shukrani za pekee ziwafikie Madaktari, Wauguzi na Wafanyakazi wa hospitali za Hindu Mandal na Regency za hapa DSM. Pia shukrani ziwafikie Uongozi na...

 

11 years ago

Michuzi

AROBAINI YA ZAINABU BUZOHERA DMV

Mume wa marehemu Zainabu Buzohera,Bw. Dullah akiwa katika picha ya pamoja na mdogo wa marehemu,Ngalu Buzohera kwenye kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab iliyofanyika Jumapili feb 9, 2014 kwenye mgahawa wa Tabeer uliopo Hyattsville, Maryland. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwaongoza Watanzania kwenye kisomo cha arobaini ya mpendwa wetu Zainab Buzohera aliyefariki Jan 4, 2014 kwenye hosipitali ya Doctor's Community iliyopo Lanham,...

 

9 years ago

GPL

PENNY AGOMEA AROBAINI YA TIFFAH

Imelda Mtema Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kusema kuwa hata akialikwa kwenye sherehe ya arobaini ya mtoto wa ‘x’ wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Tiffah hawezi kwenda pamoja na ushkaji wao kwa sababu mpenzi wake wa sasa hawezi kumruhusu.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MSdrLh

 

9 years ago

Mtanzania

Kabla ya arobaini, Bobby Brown afanya shoo

150214-news-bobby-brownNA BADI MCHOMOLO

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Bobby Brown, juzi alipanda jukwaani na kufanya onyesho la kwanza tangu kifo cha mtoto wake, Kristina kilichotokea Julai mwaka huu.

Kristina alizikwa Agosti 3 mwaka huu, hivyo siku 23 tu zimepita amefanya onyesho huku akiwashukuru waliohudhuria onyesho hilo.

“Nawashukuru sana kwa uwepo wenu siku ya leo, pia nawashukuru wale wote mliomuombea mwanangu wakati alipokuwa akiugua,” alieleza Brown.

Hata hivyo, wakati baba huyo akitumbuiza,...

 

11 years ago

Michuzi

AROBAINI YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV

Zainab Buzohera enzi ya uhai wake
Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd,  Hyattsville, MD 20783. Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili kufanikisha siku hii ambayo ilianzia saa, siku, wiki, mwezi na siku 10...

 

10 years ago

Michuzi

NCHI ZA AFRIKA ZA TOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB

Wakati Mikutano ya Benki ya Dunia na Shirika la kifedha la kimataifa ikiendelea hapa Mjini Washington Dc. Mawaziri wa fedha wameweka misimamo yao juu ya sera ambazo zinawekwa na Benki ya Dunia.
Akizungumza na vyombo vya habari,waziri wa fedha wa Tanzania Mhe. Saada Salum Mkuya alisema” Sisi kama nchi tuliwasilisha nini tunaona katika utekelezaji wa mipango ya Benki. Tumeshukuru sana Benki ya Dunia kwa kuendeleza mipango ya kuweza kusaidia nchi za kiafrika ,hususan kwenye mipango...

 

10 years ago

Vijimambo

AROBAINI YA MAREHEMU MZEE ABASS KHALFAN MANG'ULO:

Asalaam aleikum, Kwa niaba ya familia nzima ya Mang'ulo na binti ya marehemu Swalha Kibodya, tunapenda kuwapa taarifa kutakuwa na kisomo cha Arobaini kumrehemu mzee wetu Abass Khalfan Mang'ulo Kisomo hicho kitafanyika siku ya Jumamosi August 22, 2015 katika Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Mass kuanzia saa 10 jioni. Ukipata taarifa hii tafadhali wafikishie na wengine. Tunatanguliza shukran. Kwa habari zaidi unaweza kuwasiliana na Isaac Kibodya 413.219.1153

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani