PENNY AGOMEA AROBAINI YA TIFFAH
Imelda Mtema Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kusema kuwa hata akialikwa kwenye sherehe ya arobaini ya mtoto wa ‘x’ wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Tiffah hawezi kwenda pamoja na ushkaji wao kwa sababu mpenzi wake wa sasa hawezi kumruhusu.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MSdrLh
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
Msajili agomea mabadiliko Chadema
9 years ago
Mtanzania26 Aug
Pluijm agomea mechi Yanga
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, raia wa Uholanzi, amegoma kucheza mechi za kirafiki kwa ajili ya kujipima nguvu hadi nyota wake watakaporejea kutoka kwenye timu zao za Taifa ambazo wamekwenda kuzichezea.
Kocha huyo, ambaye hajafungwa mechi hata moja ya kirafiki, inawezekana hataki kuivuruga rekodi hiyo kutokana na kuwakosa nyota hao, ambao wamekuwa chachu ya ushindi kwenye kikosi hicho ambacho kilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania msimu...
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Kibadeni agomea mkataba JKT Ruvu
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KOCHA wa JKT Ruvu, Abdallah Kibadeni, amesema hafikirii kuingia mkataba na klabu hiyo kabla ya kuwaandaa wachezaji na kupata kikosi bora cha kwanza kitakacholeta ushindani katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kibadeni ambaye amewahi kuifundisha Simba na mshauri wa benchi la ufundi la timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa sasa, aliitwa kuinusuru timu hiyo na matokeo mabaya baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa kocha mkuu, Felix...
11 years ago
Mwananchi26 May
Mzindakaya agomea ombi la RC mbele ya Pinda
9 years ago
BBCSwahili24 Oct
Mourinho agomea wanahabari baada ya kushindwa
10 years ago
GPLWEMA AGOMEA KAJALA KULISHWA KEKI
9 years ago
MichuziShukrani na Taarifa ya Arobaini
Shukrani za pekee ziwafikie Madaktari, Wauguzi na Wafanyakazi wa hospitali za Hindu Mandal na Regency za hapa DSM. Pia shukrani ziwafikie Uongozi na...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC
9 years ago
Vijimambo29 Oct
Wasira agomea matokeo yaliyompa ushindi Bulaya
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza juzi jioni, Wasira alisema matokeo ya ubunge yalichakachuliwa kutokana na uhesabuji kura kutofuata utaratibu.
Wasira alisema...