Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msanii wa Tanzania asiyevaa viatu

Msanii Mrisho Mpoto wa Tanzania wa muziki wa asili ameamua kutovaa kuvaa viatu katika maisha yake yote.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bob Junior; Msanii ‘aliyevaa viatu’ vya baba yake

Samaki mkunje angali mbichi, akishakauka atavunjika. Tafsiri ya usemi huu haimaanishi kutumia nguvu, badala yake maarifa yatumike kwa namna yoyote ili kumfundisha mtoto afuate mstari mwema wa maadili, utakaokuwa neema katika maisha yake ya baadaye.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli ya ushonaji viatu

001

Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za kushona viatu na kuweza kumiliki Kiwanda cha Viatu  na kuwaajili watu zaidi ya 2,50. Kwenye kiwanda hicho (kushoto), Msimazi wa Kiwanda hicho Bi.Teya Herman.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

002

Wafanyakazi wa kiwanda cha WOISO wakiwa kazini.

003

Eliza  Hamad, akiwa na mfanyakazi mwezie Bw.Hilari Kimario...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tanzania kuadhimisha siku ya msanii

RISHO mPOTOZ

Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), na Katikati ni msanii nguli wa kughani mashairi nchini Mrisho Mpoto.(Picha na Maktaba).

Na Beatrice Lyimo- MAELEZO

Mfuko wa Pensheni (PSPF) umedhamini siku ya Msanii Tanazania itayoadhimishwa Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa dhumuni la kuwapa mafunzo wasanii ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Msanii wa Komedy wa Nigeria awasifu wasanii wa Tanzania

MSANII wa vichekesho (komedy) kutoka Nigeria,Okopcha Bright Onyekere maarufu kama Basket Mouth amewasifu wasanii wa Tanzania kwa juhudi wanazofanya kuelimisha jamii kutumia vipaji vyao.
Akizungumza Dar es Salaam jana baada ya kuwasili kutoka Nigeria kwa ajili ya onesho maalum kushirikiana na wasanii wa Tanzania juzi Dar es Salaam alisema kutoka aanze sanaa ya vichekesho miaka 16 iliyopita amekuwa akipata sifa za wasanii wa Tanzania wakiwika katika fani za muziki, sanaa za filamu, ...

 

10 years ago

Bongo5

Roberto wa Amarula kufanya kolabo na msanii wa Tanzania

Msanii wa Zambia anayehit na wimbo wake, Amarula, Roberto pamoja na msanii wa Tanzania Galaxy, wanatarajia kuingia studio kufanya kolabo. Galaxy amesema tayari wameshafanya mazungumzo na msanii huyo na kinachofuata ni kuingia studio. “Kolabo hatujaifanya bado kwa sababu kuna kazi fulani zilitokea. Kwahiyo tukawa tumepanga tufanye siku nyingine kwa sababu si unajua nilikutana naye kwenye […]

 

11 years ago

GPL

SIKU YA MSANII TANZANIA KUFANYIKA OKTOBA 25 DAR

Mmoja wa watayarishaji wa tamasha hilo, Catherine Metili (kushoto), Peter Mwendapole, Abdul Salvador, na Mkurugenzi wa kampuni ya Haak Neel Production, Godfrey Katula wakiwa mbele ya wanahabari (hawapo pichani) jana.
Wanahabari wakiwa…

 

11 years ago

GPL

MASHIRIKISHO YA SANAA TANZANIA YAUNGA MKONO SIKU YA MSANII

Katibu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Godfrey Ndimbo akizungumza na wanahabari hawapo pichani. Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Denis Mango, Katibu Godfrey Ndimbo, Peter Mwendapole na Mkurugenzi, Godfrey Katula wakiwa meza kuu.…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Samantha (Hotshots) abariki kava la single ya msanii wa Tanzania

Aliyekuwa mwakilishi wa Afrika Kusini kwenye shindano la Big Brother Africa 2014, Samantha anaendelea kufurahia maisha nchini alikokuja kumpa kampani Idris Sultan. Pamoja na kutoweka wazi, wawili hao wanahisiwa kuwa ni wapenzi. Mrembo huyo ameamua kulibariki kava la wimbo mpya wa Milian, Until Forever Ends utakaotoka hivi karibuni. “Until forever ends album cover @milliandollarboy. Download […]

 

11 years ago

GPL

MSANII MICHAEL MOSES AANDAA VIDEO YA KUHAMASISHA AMANI TANZANIA

Moses (katikati) akiimba na mashabiki wake.  …Hapa ni ishara za ukakamavu wa kupigania amani.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani