MTAMA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Waomba kunusuru mtama wao
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Nitaipaisha Mtama kimaendeleo — Mchinjita
BAADA ya kipenga cha uchaguzi mkuu kupulizwa, wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa wamejitokeza kuwania ubunge katika maeneo mbalimbali nchini. Kijana Isihaka Mchinjita (32), ni miongoni mwa waliotangaza nia kuwania ubunge Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF). Mwandishi Wetu AHMAD MMOW, amefanya mahojiano naye kuhusu nia yake. Endelea……
Raia Tanzania: Jimbo la Mtama lenye wakazi 141,000 na wapiga kura takriban 80,000 sasa liko wazi baada ya aliyekuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HYHNyC9fBek/VV2DapE9nfI/AAAAAAAAcEo/WtZLsxf_CAU/s72-c/mt1.jpg)
NAPE AHIMIZA MSHIKAMANO MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HYHNyC9fBek/VV2DapE9nfI/AAAAAAAAcEo/WtZLsxf_CAU/s640/mt1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JdTOb2gsqU/VV2Dbmx9lDI/AAAAAAAAcEw/AcDNVTkmwcE/s640/mt2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UPVPQnN2Wz8/VV2DcU_y8GI/AAAAAAAAcE4/2sWgQh9HOoE/s640/mt4.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Wananchi wacharukia ushindi wa Nape Mtama
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Nape ajitosa kumrithi Membe Mtama.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-16July2015.jpg)
Baadhi ya vigogo wa serikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na waliokuwa baadhi ya wabunge wa majimbo nchini, jana walijikuta wakipigana vikumbo katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania ubunge katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini Oktoba 25, mwaka huu.
Hatua hiyo ilikuja baada ya Chama hicho kutangaza kuanza kutoa fomu hizo jana kwa wanachama wake...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Mwanafunzi kuwania ubunge jimbo la Mtama
MWANAFUNZI wa stashahada ya uzamili ya utawala wa huduma za umma katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Malick Malick ametangaza kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Mtama mkoani Lindi.
11 years ago
Dewji Blog05 Jun
Wakazi wa Singida wahimizwa kulima Mtama
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Mbeya,Ahmed Msangi (wa tatu kulia) akishiriki mchakamchaka muda mfupi kabla mwenge wa uhuru kukibidhiwa kwa uongozi wa mkoa wa Singida, katika kijiji cha Rungwa tarafa ya Itigi wilaya ya Manyoni.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKAZI wa Manispaa ya Singida,wamehimizwa kulima zao la mtama linalohimili ukame kama inavyoelekezwa na uongozi wa mkoa ili waweze kuondokana na uhaba wa chakula katika kipindi chote cha mwaka.
Wito huo umetolewa hivi karibuni na...
10 years ago
Michuzi19 Nov
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE JIMBO LA MTAMA
![01](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/012.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s72-c/1.jpg)
NAPE ASHIRIKI USAFI JIMBONI KWAKE MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BGyHzPdi6MA/VmfjN4eMHAI/AAAAAAAAsG0/M2HP18CciGY/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YwFeRxJR-Sw/VmfjOSkgAhI/AAAAAAAAsHA/QWm-dMT9pzM/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)