Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waomba kunusuru mtama wao

Wananchi wilayani Kishapu mkoani hapa wameiomba Serikali iwapelekee ndege kwa ajili ya kupulizia dawa ya kuua ndege aina ya kolea kolea wanaoshambulia mtama ulioko shambani ili kuweza kuepusha baa la njaa linaloweza kusababishwa na viumbe hao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waomba kunusuru uchumi Zambia

Viongozi wakuu Zambia wanahudhuria siku kuu ya kitaifa ya kufunga na kuliombea taifa hilo ilikunusuru thamani ya sarafu yake

 

10 years ago

Mwananchi

Machifu sasa waomba utawala wao urejeshwe

Umoja wa machifu nchini juzi uliwasilisha mapendekezo yao katika Bunge la Katiba ukitaka yaingizwe kwenye Katiba inayotungwa.

 

9 years ago

Michuzi

UVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO

 Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini-Unguja ndugu Mbarouk Mrakib katikati akizungumza na Waandishi wa habari huko ofisini kwake Bububu kuhusu mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuomba kupatikana kwa Kamanda Mpya wa UVCC Taifa baada ya Mzee Kingunge kuvuliwa Ukamanda huo. Kulia kwake ni Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Canal Msaafu Masoud Ali Khamis na kushoto ni Mjumbe wa Kamati tendaji UVCCM Wilaya Khadija Ramadhan Abdu. Picha na Faki Mjaka- Maelezo Zanzibar. Mwenyekiti wa UVCCM...

 

11 years ago

Michuzi

Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita

Kiongozi wa wazazi na walezi wa wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie Adel Alex (katikati) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mgogoro huo unaoendelea, kushoto ni Patricia Richard ambaye ni mlezi na kulia ni Dunstan Masingisa ambaye ni mzazi. Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie kufuatia vurugu zilizosababishwa na mwanafunzi mwenzao kupigwa shoka na mlinzi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ya Warioba; tusiwe kama wao kwani wao sio sisi

MOJAWAPO ya vitu ambavyo naviogopa sana ninapotafakari hatima ya taifa letu huko mbeleni ni uwezekano kuwa tunaweza kubadilisha watawala bila kubadilisha utawala. Lugha ya kisiasa nchini imebadilika sana kiasi kwamba...

 

9 years ago

Vijimambo

MTAMA


 

10 years ago

Vijimambo

NAPE AHIMIZA MSHIKAMANO MTAMA

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa akisalimiana na Mzee Masoud Ali Chitende Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Mtama mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Mtama ambapo alipata nafasi ya kuwasalimu wajumbe wa Halmashauri Kuu za Kata Mtama na Majengo, Mtama mkoani Lindi.Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mtama Mzee Said H. Maluma,kushoto ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Majengo Mzee Omari Mataka.Baadhi ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu za Kata ya...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Nitaipaisha Mtama kimaendeleo — Mchinjita

BAADA ya kipenga cha uchaguzi mkuu kupulizwa, wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa wamejitokeza kuwania ubunge katika maeneo mbalimbali nchini. Kijana Isihaka Mchinjita (32), ni miongoni mwa waliotangaza nia kuwania ubunge Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF). Mwandishi Wetu AHMAD MMOW, amefanya mahojiano naye kuhusu nia yake. Endelea……

Raia Tanzania: Jimbo la Mtama lenye wakazi 141,000 na wapiga kura takriban 80,000 sasa liko wazi baada ya aliyekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wacharukia ushindi wa Nape Mtama

Hali katika Jimbo la Mtama si shwari baada ya kundi la wananchi kufanya maandamano ya kukataa matokeo ya kura za maoni yaliyompa ushindi Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye huku wakimtaka mpinzani wake achukue uamuzi mgumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani