Waomba kunusuru mtama wao
Wananchi wilayani Kishapu mkoani hapa wameiomba Serikali iwapelekee ndege kwa ajili ya kupulizia dawa ya kuua ndege aina ya kolea kolea wanaoshambulia mtama ulioko shambani ili kuweza kuepusha baa la njaa linaloweza kusababishwa na viumbe hao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Waomba kunusuru uchumi Zambia
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Machifu sasa waomba utawala wao urejeshwe
9 years ago
MichuziUVCCM ZANZIBAR WAOMBA KUPATIWA MRITHI WA MZEE KINGUNGE KUNOGESHA USHINDI WAO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fl5hAid20NE/UvTWYyy4-QI/AAAAAAAFLlk/wJGXHs7uARc/s72-c/unnamed+(58).jpg)
Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-fl5hAid20NE/UvTWYyy4-QI/AAAAAAAFLlk/wJGXHs7uARc/s1600/unnamed+(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ky4MtyKP8K4/UvTWY-TAg5I/AAAAAAAFLlo/-UmnvnEqhgU/s1600/unnamed+(59).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Ya Warioba; tusiwe kama wao kwani wao sio sisi
MOJAWAPO ya vitu ambavyo naviogopa sana ninapotafakari hatima ya taifa letu huko mbeleni ni uwezekano kuwa tunaweza kubadilisha watawala bila kubadilisha utawala. Lugha ya kisiasa nchini imebadilika sana kiasi kwamba...
9 years ago
Vijimambo02 Oct
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HYHNyC9fBek/VV2DapE9nfI/AAAAAAAAcEo/WtZLsxf_CAU/s72-c/mt1.jpg)
NAPE AHIMIZA MSHIKAMANO MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HYHNyC9fBek/VV2DapE9nfI/AAAAAAAAcEo/WtZLsxf_CAU/s640/mt1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JdTOb2gsqU/VV2Dbmx9lDI/AAAAAAAAcEw/AcDNVTkmwcE/s640/mt2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UPVPQnN2Wz8/VV2DcU_y8GI/AAAAAAAAcE4/2sWgQh9HOoE/s640/mt4.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Nitaipaisha Mtama kimaendeleo — Mchinjita
BAADA ya kipenga cha uchaguzi mkuu kupulizwa, wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa wamejitokeza kuwania ubunge katika maeneo mbalimbali nchini. Kijana Isihaka Mchinjita (32), ni miongoni mwa waliotangaza nia kuwania ubunge Jimbo la Mtama, mkoani Lindi, kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF). Mwandishi Wetu AHMAD MMOW, amefanya mahojiano naye kuhusu nia yake. Endelea……
Raia Tanzania: Jimbo la Mtama lenye wakazi 141,000 na wapiga kura takriban 80,000 sasa liko wazi baada ya aliyekuwa...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Wananchi wacharukia ushindi wa Nape Mtama