MTANZANIA MZEE ALFRED MAGEGE ANAUMWA
Mtanzania Ndugu Alfred Magege anaumwa sana na amelazwa Calvary Hospital kwa ajili ya 'palliative care'. Mr. Magege has been battling bone cancer for 10 years. Familia inaomba ushirikiano wa hali na mali kutoka kwa Watanzania wengine na marafiki, ndugu na jamaa kutoka nchi zingine.Unaweza kuwasiliana na familia ya ndugu Magege kama ifutavyo: Buyamba Magege (son)#646-943-1104. Mrs. Lois Magege #646-864-9645. Geoffrey Ngullu# 267-582-6276Feel free kumtembelea mgonjwa ndugu Alfred Magege...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAISHIO NEW YORK NA MIJI JIRANI WASHIKAMANA NA KUMZIKA MZEE ALFRED MAGEGE
Mzee Magege apumzishwa kwenye nyumba yake ya milele kwa ushirikiano wa jumuiya ya Watanzania waishio New York na miji ya jirani. Sala ya kumuombea mzee magege na kuaga mwili wake vyote vilifanyika Victory Seventh-Day Adventist Church Bronx. Ny. na kisha kumsindikiza kwenye nyumba yake ya milele huko Mount Prospect Cemetery Neptune City. Nj.
Mwili wa mzee Magege ukiwa ndani ya jeneza tayari kwa kuifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele.
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Mzee Kingunge ataka katiba itakayomwondoa Mtanzania katika umaskini
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru akichangia bungeni mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Magreth Kinabo, Dodoma
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni Mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameeleza siri iliyomsukuma kutoa mapendekezo yake ya sura mpya juu ya lengo la mageuzi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kujitegemea kuwa ni unyonge wa watu wengi ili waweze kuondokana na umasikini.
Aidha Mzee Kingunge...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAhr9Zy4MQSYLrAzYSa8OysIWY7DrHRduc9H3ZRPESzNpjF8Bc-4dmWuL9poMhF3Lpev93UitFCTeJvkF85lV7Kx/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
RAY C: MAMA’ANGU ANAUMWA SANA
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Mahakama yamwamuru Gwajima kuthibitisha kama kweli anaumwa
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Alfred Elia aahidi makubwa Simba
MGOMBEA ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Alfred Elia, amewaomba wanachama wa klabu hiyo kumchagua ili aweze kuleta maendeleo hasa kupitia jina na nembo ya klabu hiyo. Elia ni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AbjF0fYWICo/VHSEbz3ba3I/AAAAAAAGzUo/D3F2C0PIG0A/s72-c/DSC_0457%2Bcopy.jpg)
Brigitte Alfred Foundation yasherehekea mafanikio ya Vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbjF0fYWICo/VHSEbz3ba3I/AAAAAAAGzUo/D3F2C0PIG0A/s1600/DSC_0457%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Bongo517 Oct
Brigitte Alfred amtetea Miss TZ 2014, Sitti Mtemvu, ‘likikuchosha taji lilirudishe tu mpendwa’
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--cP_v7IvN30/Vco_gQrlh0I/AAAAAAAHwIE/CvLZZkaqaII/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
IBF Africa, Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred waandaa ngumi za kulipwa kuchangia albino
9 years ago
MichuziTaasisis ya Brigitte Alfred yajenga Bweni la Watoto wenye ulemavu wa ngozi wa kituo Buhangija Mkoani Shinyanga