Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTITU: WASTARA ALIMKOSEA MAREHEMU

Stori: Emelde Tarimo
BIG boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu amemtolea uvivu msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma kwa kumwambia kuwa, alimkosea sana marehemu Sheila Haule ‘Recho’ kwa kutomzika. BIG boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu Akizungumza na mwandishi wetu, Mtitu alisema marehemu Recho alikuwa mtu wa kujitoa katika matatizo mbalimbali ukiwemo msiba wa mume wa Wastara, Juma Kilowoko...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MTITU AWALIPUA MASTAA MISA YA MAREHEMU RECHO

Na Hamida Hassan
Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu hivi karibuni aliwalipua wasanii wenzake na kusema kuwa inavyoonekana kwa Mungu hawapo kwani wamekuwa wakichenga kwenda kanisani na msikitini inapotokea kuna kisomo kwa ajili ya marehemu. Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu. Mtitu alizungumza hayo alipokuwa makaburini Kinondoni jijini Dar, kwenye misa ya mwaka mmoja ya marehemu Rachel Haule...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara:Marehemu Sajuki Alisema Atatakufa Mwaka Mpya

"Hii siku ya tal 31 mpka tal 2 January ni siku mbaya sana kwangu unifanya nilie kuliko siku zote uumwa sababu ya mawazo niliambiwa neno ambalo sikuwa tayari kulipokea, marehemu sajuki alisema.nitakufa huku watu bado wanasheherekea mwaka mpya nami nitakufa mwaka mpya alianza kuhesabu saa yake kufa tal 31 na kweli ilipofika tal 1 aliniomba nimtoroshe hosptal nimpelke beach akashike maji ya bahari kwa ya mwisho, ni rahisi sana wew kusoma haya maneno lakini ni maneno mazito na yenye kuchoma moyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara Amuanika Mbaya Wake, Kisa ni Kuolewa na Marehemu Sajuki

Baada ya kipindi kirefu cha tetesi ya staa wa filamu Wastara kuhofia maisha yake, akihisi upo mpango wa kumuangamiza kwa njia mbalimbali ikiwepo ajali, staa huyo amesema tetesi hizo ni kweli na amekwishazitolea ripoti polisi.

Msanii huyo amekiri kupitia eNewz kuwa, ni kweli yupo katika tishio la maisha yake, mhusika mkubwa wa hilo akiwa mwanaume ambaye alikuwa na mahusiano yake wa zamani ambaye hawana maelewano mazuri naye.Wastara amesema kuwa, amekuwa na historia ya mahusiano mabovu na mtu...

 

10 years ago

Michuzi

DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU Marehemu Omar Ndege Mgori KUFANYIKA NOVEMBA 23, 2014

Marehemu Omar Ndege MgoriFamilia ya  Mzee Ndege inatoa shukurani nyingi kwa ndugu, jamaa marafiki ma majirani waliokuwa nao bega kwa bega tokea ndugu yao mpendwa Marehemu Omar Ndege Mgori kilichotokea mwezi wa jana huko  India  na hatimaye kuzikwa  siku ya jumatatu Oktoba 13, 2014 kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam. Familia inasema haina cha kuwalipa zaidi ya  AHSANTE SANA na kumuomba Mola awajazie pale palipopungua.
Dua maalumu ya kumuombea Marehemu Omar Ndege Mgori imepangwa...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA MAZIKO YA MAREHEMU SPIKA MSTAAFU WA BARAZA LA WAWAKILISHI MAREHEMU ALI KHAMIS ABDALLAH

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akishiriki katika kumswalia Marehemu Ali Khamis Abdallah, Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,  katika Masjid Makhfoudh ulioko Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar jana Makamanda wa jeshi la Polisi Zanzibar wakilibeba jeneza la Marehemu Ali Khamis  Abdalla Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aliyezikwa Fuoni jana,maziko yake yaliyoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

11 years ago

GPL

WEMA, MTITU WAKWIDANA

Stori: Hamida Hassan na Erick Evarist
KIMENUKA! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu wamekwinda ‘live’ ndani ya gari, Risasi Jumamosi lina kisanga kamili. Staa katika tasnia ya filamu za Kibongo, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu UWANJA WA VITA
Taarifa za uhakika zilieleza kuwa, tukio hilo lilijiri juzikati maeneo la Bunju, Dar nyumbani kwa mke wa...

 

10 years ago

GPL

MTITU ANUSURIKA KIPIGO

Stori: Na Waandishi wetu/Ijumaa Wikienda UPEPO ulichafuka! Katika hali ya taharuki, msanii ambaye pia ni msambazaji wa kazi za wasanii, William Mtitu amenusurika kipigo wakati wa kikao cha wasambazaji kujadili bei ya CD za kazi za wasanii. Kikao hicho kilifanyika wiki iliyopita katika Ukumbi wa Habari Maelezo, Posta jijini Dar kufuatia kampuni ya usambazaji ya Steps Entertainment kutangaza kuuza CD kwa shilingi 1,000 badala ya...

 

11 years ago

GPL

MTITU, NIVA WAZICHAPA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Ukisikia paaa! Mastaa vidume wa Bongo Movies, William Mtitu na Zuberi Mohamed ‘Niva’ wanadaiwa kutoelewana na kuzichapa kavukavu kabla ya kuamuliwa na watu waliokuwa nao kwenye mandhari ya kurekodia sinema (location). Mkali wa Bongo Movies, William Mtitu. Kwa mujibu wa sosi wa tukio hilo lililojiri maeneo ya Kijichi jijini Dar, hivi karibuni, kisa cha wawili hao kutupiana...

 

11 years ago

GPL

MTITU AMPA MAKAVU JB

Stori: Mwandishi Wetu KATIKA hali ya kushangaza msanii wa filamu na Mkurugenzi wa Five Effect, William Mtitu amemchana live msanii mwenzake, Jacob Stephen ‘JB’ baada ya kutoa mchango mdogo kwenye msiba wa Sheila Haule ‘Recho’. Msanii wa filamu na Mkurugenzi wa Five Effect, William Mtitu (wa tatu kutoka kushoto) akiwa karibu na jeneza la Recho Haule. Akizungumza msanii mmoja wa filamu ambaye hakutaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani