Mtoto wa bwana shamba awa kinara kitaifa
Wakati Ramadhani Gembe (pichani) anafanya mtihani wa Taifa wa kidato cha sita miezi miwili iliyopita, hakuwahi kufikiri angeshika namba moja kwa ufaulu kitaifa licha ya jitihada zake za kujituma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mtoto awa mfungwa nyumbani kwao
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Mtoto wa H-Baba awa balozi wa duka la EBM
H-Baba akimsaidia kukata keki ya sherehe mwanaye Tanzanite.
Tanzanite akimlisha keki baba yake H-Baba huku mama yake mzazi akishuhudia kwa karibu tukio hilo.
Muigizaji wa filamu Davina akilishwa keki na Tanzanite.
Mmiliki wa duka lililomteua Tanzanite kuwa balozi wake, Ernest Makulilo, akilishwa keki hiyo.
Mdhamini wa shughuli hiyo ambaye ni Mkurugenzi wa The Fadhagate Sanitarium Clinic Child akilishwa keki.
Davina akiwakabidhi tuzo ya Wanandoa Bora H-Baba na mkewe Flora Mvungi.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LaETxAsWpnnJwWB0c5ZckQ8O11SV1wD*5MM-3NJfdKCuAv7K9McGwsFQjWmh2XyUlsSI*4k-bO05LG*9L4gEgzS/EnglandvSwitzerland2.jpg?width=650)
MTOTO WA BECKHAM AWA ALAMA YA HESHIMA UINGEREZA IKICHEZA NA SWITZERLAND
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO
Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...
10 years ago
Michuzi16 Mar
ONYESHA UZALENDO KWA KUPIGA KURA KWA KINARA WA UHAMASISHAJI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO ROSE MWALONGO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/i4iR9vOOW3YeOH4gJT1gYgLFF22DCwRyTTiRC94t9DT_eJ1GbD9XICz8M6zxPV5uJExGnXy10NJVa3W8JdjDxI2Z0ETlATOxqMPyZFxSw5d6CHR0xKU6bLYU9GNiiJQNCKolxq-hwSi1yHklH_VU0WsiqmEluTVEol_9inB14tBXelTaKC0oh4GZVObp5dFepJfS0p_IyZ5XK25d4asRTFANbGrh9SNEG-IdQqTIv6Wi1C7njaPPYAYlrb7GvJTCioHK5WkTk8i1v4Jgkg5nAP1PP75oPjTJxtOEw2hoF0oWYEFltx5Zm_-3yOrhU4qymUf7tHIfWji3BFTSet0q7g=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-8OGySkdrsso%2FVQbpwLC1U2I%2FAAAAAAAAH2A%2FtUrIt48b7jY%2Fs1600%2Fmwalongo.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Sijambo la ajabu kwa wasomaji wa habari za kila siku kujikuta wakichagua baadhi ya kurasa au kutilia maanani zaidi habari za aina fulani, na hapa ina maana kuwa kuna vichwa vya habari vitakavyo wavuta kusoma habari yake mwanzo hadi mwisho.Harakati za kutetea haki za watoto na wanawake ndio eneo langu. Ndio maana habari hii haikunipita, habari iliyoandikwa kwenye habari iliyoandikwa kwenye gazeti la the Guardian, na nitaandika sehemu ya habari hii ili nanyi msome:“’Nilipokuwa mdogo sana...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Shamba apatikana na zao la ‘shamba’
SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10